Mazishi Ya Kichaga

Bikirembwe

JF-Expert Member
Feb 13, 2008
250
7
Familia moja ilishangazwa pale walipopokea jeneza la marehemu mama yao
aliyefariki nchini Marekani. Lilitumwa na mmoja ya watoto wake wa kike.
Mwili ndani ya jeneza ulikuwa umesongwa sana ndani ya jeneza kiasi
kwamba uso wa marehemu ulikuwa umegusa kioo cha jeneza!
Walipofungua jeneza, walikuta barua juu ya merehemu, iliyosomeka namna
hii:
"Wapendwa ndugu zangu, nimeutuma mwili wa mama yetu kwa ajili ya
mazishi, kwani imekuwa siku zote hamu yake kubwa kuzikwa nyumbani Machame, katika nyumba ya ukoo. Samahani sikuweza kuja na mwili kwani
nimenyimwa likizo kwani kuna upungufu wa wafanyakazi hapa kazini mwezi
huu.
Ndani ya jeneza, chini ya mwili wa mama, kuna makopo 12 ya samaki wa
makopo, paketi 10 za supu ya Royco na chupa 8 za jam ya maembe. Mgawane
hivi kwa jinsi mtakavyoamua nyinyi.
Katika miguu ya mama kuna pea moja ya viatu vya Reebok namba 9 kwa ajili
ya mtoto mkubwa wa Mushi. Pia, kuna pea mbili za viatu kwa ajili ya
watoto wa Urassa na Kwayu, natumaini nitakuwa sijakosea namba za miguu.
Nimemvalisha pia mama American T-shirts 6, kubwa kabisa ni kwa ajili ya
Manka, na zinazobaki ni za watoto wake. Hizo jeans mpya 2 ambazo mama
amezivaa ni za wavulana. Hiyo Swiss watch mkono wake wa kushoto ni
zawadi ya Koku kwa ajili ya sikukuu yake ya kutimiza miaka 21. Anti
Rebeka, hizo heleni, mkufu na pete ambazo mama amevaa ni zako.
Hizo soksi 6 ambazo mama amevaa wagaiwe wajomba. Tafadhali mgawane kama
nilivyosema na kama kuna kitu kingine mnahitaji, basi mnieleze kwani
hali ya baba nayo siku hizi si nzuri sana.
Dada yenu mpenzi,
Mama Manka
 
ni ujanja mzuri wa kukwepa gharama mbona siku nyingi tu watu wanasafirisha dawa za kulevya ndani ya maiti.
 
Familia moja ilishangazwa pale walipopokea jeneza la marehemu mama yao
aliyefariki nchini Marekani. Lilitumwa na mmoja ya watoto wake wa kike.
Mwili ndani ya jeneza ulikuwa umesongwa sana ndani ya jeneza kiasi
kwamba uso wa marehemu ulikuwa umegusa kioo cha jeneza!
Walipofungua jeneza, walikuta barua juu ya merehemu, iliyosomeka namna
hii:
"Wapendwa ndugu zangu, nimeutuma mwili wa mama yetu kwa ajili ya
mazishi, kwani imekuwa siku zote hamu yake kubwa kuzikwa nyumbani Machame, katika nyumba ya ukoo. Samahani sikuweza kuja na mwili kwani
nimenyimwa likizo kwani kuna upungufu wa wafanyakazi hapa kazini mwezi
huu.
Ndani ya jeneza, chini ya mwili wa mama, kuna makopo 12 ya samaki wa
makopo, paketi 10 za supu ya Royco na chupa 8 za jam ya maembe. Mgawane
hivi kwa jinsi mtakavyoamua nyinyi.
Katika miguu ya mama kuna pea moja ya viatu vya Reebok namba 9 kwa ajili
ya mtoto mkubwa wa Mushi. Pia, kuna pea mbili za viatu kwa ajili ya
watoto wa Urassa na Kwayu, natumaini nitakuwa sijakosea namba za miguu.
Nimemvalisha pia mama American T-shirts 6, kubwa kabisa ni kwa ajili ya
Manka, na zinazobaki ni za watoto wake. Hizo jeans mpya 2 ambazo mama
amezivaa ni za wavulana. Hiyo Swiss watch mkono wake wa kushoto ni
zawadi ya Koku kwa ajili ya sikukuu yake ya kutimiza miaka 21. Anti
Rebeka, hizo heleni, mkufu na pete ambazo mama amevaa ni zako.
Hizo soksi 6 ambazo mama amevaa wagaiwe wajomba. Tafadhali mgawane kama
nilivyosema na kama kuna kitu kingine mnahitaji, basi mnieleze kwani
hali ya baba nayo siku hizi si nzuri sana.
Dada yenu mpenzi,
Mama Manka


Nafurahi hamkuweka huko Heroine na Cocaine kama watu wengine!!!!!
 
MTAKOMA KURINGA

WENZENU WANATUMIA KILA OPPORTUNITY KUTIMIZA MALENGO YAO. Hebu angalia zoezi a kupeleka zawadi nyumbani halikukwamishwa na safari ya marehemu bali limefanyika kwa urahisi zaidi
 
Wachaga hatuna mambo hayo ,uliyosema jokes uliyoleta haichangamshi
Ni kweli SL, huyo sio mchaga bana, wachaga hatuthamini kazi kuliko msiba, tunajali sana mambo ya msiba. Huyo atakuwa ni Mpare na Ubahili wake wa kusafirisha zawadi akaona adandie maiti. Inachekesha ila sio kivile!
 
una utani na wachaga,mie simo


Familia moja ilishangazwa pale walipopokea jeneza la marehemu mama yao
aliyefariki nchini Marekani. Lilitumwa na mmoja ya watoto wake wa kike.
Mwili ndani ya jeneza ulikuwa umesongwa sana ndani ya jeneza kiasi
kwamba uso wa marehemu ulikuwa umegusa kioo cha jeneza!
Walipofungua jeneza, walikuta barua juu ya merehemu, iliyosomeka namna
hii:
"Wapendwa ndugu zangu, nimeutuma mwili wa mama yetu kwa ajili ya
mazishi, kwani imekuwa siku zote hamu yake kubwa kuzikwa nyumbani Machame, katika nyumba ya ukoo. Samahani sikuweza kuja na mwili kwani
nimenyimwa likizo kwani kuna upungufu wa wafanyakazi hapa kazini mwezi
huu.
Ndani ya jeneza, chini ya mwili wa mama, kuna makopo 12 ya samaki wa
makopo, paketi 10 za supu ya Royco na chupa 8 za jam ya maembe. Mgawane
hivi kwa jinsi mtakavyoamua nyinyi.
Katika miguu ya mama kuna pea moja ya viatu vya Reebok namba 9 kwa ajili
ya mtoto mkubwa wa Mushi. Pia, kuna pea mbili za viatu kwa ajili ya
watoto wa Urassa na Kwayu, natumaini nitakuwa sijakosea namba za miguu.
Nimemvalisha pia mama American T-shirts 6, kubwa kabisa ni kwa ajili ya
Manka, na zinazobaki ni za watoto wake. Hizo jeans mpya 2 ambazo mama
amezivaa ni za wavulana. Hiyo Swiss watch mkono wake wa kushoto ni
zawadi ya Koku kwa ajili ya sikukuu yake ya kutimiza miaka 21. Anti
Rebeka, hizo heleni, mkufu na pete ambazo mama amevaa ni zako.
Hizo soksi 6 ambazo mama amevaa wagaiwe wajomba. Tafadhali mgawane kama
nilivyosema na kama kuna kitu kingine mnahitaji, basi mnieleze kwani
hali ya baba nayo siku hizi si nzuri sana.
Dada yenu mpenzi,
Mama Manka
 
Ni kweli SL, huyo sio mchaga bana, wachaga hatuthamini kazi kuliko msiba, tunajali sana mambo ya msiba. Huyo atakuwa ni Mpare na Ubahili wake wa kusafirisha zawadi akaona adandie maiti. Inachekesha ila sio kivile!

sweetlady kumbe nawe wa kulekwetu ...?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom