HANDO
Member
- Sep 1, 2011
- 51
- 4
ALIKUWA DIWANI NA KAMANDA WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO MWL siasi YATAFANYIKA LEO NYUMBANI KWAKE DONGOBESH-diwan huyu alifariki siku ya ijumaa,ni pigo kwa familia yke pamoja na chama kwa ujumla maana alikuwa miongoni mwa makamanda wa chache wa chama pale halmashauri wenye elimu ya juu kabisa na ushawishi mkubwa kwa jamii,mhe MBUNGE AKONAAY ANATARAJIWA KUONGOZA HALAAIKI HII -r.i.p kamanda