stambuli junior
Member
- Jul 16, 2012
- 7
- 0
ni kiangalia jamii yangu ya tanzania hii leo si oni kama kuna uwezekano wa kupata elimu inayo jitoshereza na kuweza kumpa kijana uwezo wa kupambanua mambo ktk ulimwengu huu wa utandawazi ikieleweka kwamba bado miaka miwili na sehemu kufikia malengo ya millenia!je tutafika