mind bringer
Senior Member
- Oct 19, 2017
- 170
- 51
Wataalam hv hadi sasa chuo cha NIT hakijaweka mazingora mazur ya usomaji au watu wanachuki binafsi na chuo hicho tuapene taarifa za hicho chuo upande wa mazingra ya kusoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtandaoni man wanatutisha kwel afu wengne hata Dar hatujawai kufikaMazingira mazuri ya kusoma unayazungumzia yapi mkuu?
Hebu eleza kwa makini au story za mtandaoni zimekutisha.
daaaahhhhh!!!!!!!!!Upande wa mazingira ni mabovu mnooo, elimu bora pale ni udereva tu izo zingine ni tangulia mbele tu.
Sasa si uombe chuo kingine?Mtandaoni man wanatutisha kwel afu wengne hata Dar hatujawai kufika