figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,490
- 54,884
Waziri Mkuu Mizengo Pinda ambaye ndiye mwenye dhamana ya Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)alitangazia Umma kwamba Maandalizi yamekamilika na kila kitu kipo tayari. Je Maandaalizi ndo haya? Je kuna haja ya kuendelea kuwaamini Viongozi wetu kwa kila wanancho kisema?
Pinda alitanabaisha kufanyika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao ni kipimo cha uimara wa vyama vya siasa na ndio unaoweka jiwe la msingi la vyama vya siasa kujiandaa kufanya vizuri katika Uchaguzi Mkuu mwakani. Je, kwa mazingira haya kuna nia ya dhati kabisa ya kuviwekea jiwe la msingi vyama vya siasa?
msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura Kitongoji cha Mkwajuni kwenye Kijiji cha Miono wilaya ya Bagamoyo Faustina Oforo akisubiria wapiga kura wa uchaguzi wa vitongoji, vijiji na mitaa uchaguzi uliofanyika jana
Pinda alitanabaisha kufanyika kwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao ni kipimo cha uimara wa vyama vya siasa na ndio unaoweka jiwe la msingi la vyama vya siasa kujiandaa kufanya vizuri katika Uchaguzi Mkuu mwakani. Je, kwa mazingira haya kuna nia ya dhati kabisa ya kuviwekea jiwe la msingi vyama vya siasa?
msimamizi msaidizi wa kituo cha kupigia kura Kitongoji cha Mkwajuni kwenye Kijiji cha Miono wilaya ya Bagamoyo Faustina Oforo akisubiria wapiga kura wa uchaguzi wa vitongoji, vijiji na mitaa uchaguzi uliofanyika jana