Mazingira ya St Marian Girls Secondary School Bagamoyo

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
596
307
Poleni na majukumu wapendwa. Binti yangu kachaguliwa kujiunga na St Marian Girls High School kwa combination ya HGE.

Anatakiwa kuwasili shuleni tarehe 8th Feb kwa ajili ya Pre-form 5. Najua ubora wa hii shule kitaaluma ile yeye amekataa kabisa kwenda na ukimuuliza anasema sababu ya mazingira.

Naomba kupata uzoefu kwa ambae anaifahamu vyema je kuna mazingira gani magumu ambayo hayavumiliki?

Yeye anataka zaidi shule ya Mazinde Juu.
 
Linapofika suala la elimu sio wakati wa kucheka na mtoto, kama mzazi unaona hiyo shule inamfaa mtoto wako (kielimu na maadili) basi swaga mtoto kama punda.

Visingizio kwa watoto huwa haviishi, na mara nyingi watoto hupenda sana kuambiana ujinga wao kwa wao mitaani, nahisi huyo binti yako katiwa ujinga.

Marian girls ni shule moja iko poa sana kimazingira (miundo mbinu ya uhakika, hali nzuri ya hewa, mazingira ya kuvutia, Usafi na usalama), tatizo kuu ni sheria zao kali, lakini ndio sheria nzuri kwa mtoto katika kumjenga.
 
Linapofika suala la elimu sio wakati wa kucheka na mtoto, kama mzazi unaona hiyo shule inamfaa mtoto wako (kielimu na maadili) basi swaga mtoto kama punda.

Visingizio kwa watoto huwa haviishi, na mara nyingi watoto hupenda sana kuambiana ujinga wao kwa wao mitaani, nahisi huyo binti yako katiwa ujinga.

Marian girls ni shule moja iko poa sana kimazingira (miundo mbinu ya uhakika, hali nzuri ya hewa, mazingira ya kuvutia, Usafi na usalama), tatizo kuu ni sheria zao kali, lakini ndio sheria nzuri kwa mtoto katika kumjenga.

Asante sana ndugu yangu kwa ushauri wako, ni kweli kabisa watakuwa wamejazana ujinga mambo ya mob. sheria kali ni sawa kabisa especially kwa ma binti. Mimi sijui mazingira wanayo yaongelea ni yapi
 
Mpeleke mtoto kwenye shule unayoona ipo vizuri zaidi kitaaluma, St. Mary Mazinde juu kuna baridi kuliko Bagamoyo ilipo Marian girls

Kwa kufahamu hili uongozi wa shule huwa unaorodhesha mavazi anayopaswa kuwa nayo mwanafunzi kumkinga na baridi kama tracksuit, sweater na blanket zito

Kama Marian KITAALUMA pia iko vizuri mpeleke huko Bagamoyo kuna hali ya ujoto.

Kikubwa angalia ufundishaji na ufaulu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukienda kwenye ule uzi pendwa utasikia " nlkua natoka mbeya nkapanda basi flani hivi nikakaa siti moja na mtoto mzuri kama ka miaka 18 hvi, chuchu dodo kana uso wa kudeka macho ya kurembua yaan full mauzuri tu, katikati ya safari nkatupia swali la utani 'unaenda dar kutembea' mtoto akafunguka kua naenda shule huko bwagamoyo, ila shule yenyew siipendi nmelazimishwa na mama. basi baharia nikaona mwanya hapa, nkamwambia usijali ww nenda tu ukiwa umeboreka niambie uje town kunitembelea ila usihame hyo skul. safari imeendelea mpka tumefika dar, nkamtest mtoto kua leo pumzika kwangu kesho utaendelea na safari,......" mengine mtamalizia jinsi binti wa mleta thread alivoliwa kimasihara.

ni mtazamo tu
 
Poleni na majukumu wapendwa. Binti yangu kachaguliwa kujiunga na St Marian Girls High School kwa combination ya HGE. Anatakiwa kuwasili shuleni tarehe 8th Feb kwa ajili ya Pre-form 5. Najuwa ubora wa hii shule kitaaluma ile yeye amekataa kabisa kwenda na ukimuuliza anasema sababu ya mazingira. Naomba kupata uzoefu kwa ambae anaifahamu vyema je kuna mazingira gani magumu ambayo hayavumiliki? Yeye anataka zaidi shule ya Mazinde Juu.
Kwa sasa mimi ningeprefer zaidi Mazinde juu kuliko Marian Girls. Ila zote ni nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukienda kwenye ule uzi pendwa utasikia " nlkua natoka mbeya nkapanda basi flani hivi nikakaa siti moja na mtoto mzuri kama ka miaka 18 hvi, chuchu dodo kana uso wa kudeka macho ya kurembua yaan full mauzuri tu, katikati ya safari nkatupia swali la utani 'unaenda dar kutembea' mtoto akafunguka kua naenda shule huko bwagamoyo, ila shule yenyew siipendi nmelazimishwa na mama. basi baharia nikaona mwanya hapa, nkamwambia usijali ww nenda tu ukiwa umeboreka niambie uje town kunitembelea ila usihame hyo skul. safari imeendelea mpka tumefika dar, nkamtest mtoto kua leo pumzika kwangu kesho utaendelea na safari,......" mengine mtamalizia jinsi binti wa mleta thread alivoliwa kimasihara.

ni mtazamo tu
Eat bags of dick

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Malyan Girls wanafundisha sana pale ( kitaaluma wapo vizuri) , hali ya hewa ni joto , wanafunzi wanachungwa "wanabanwa" sana wasizurure hovyo hovyo badala yake wasome sana.

Mwambie binti yako awe makini sana ajiepushe na wanafunzi wenzie wenye tabia mbaya za usagaji
 
Malyan Girls wanafundisha sana pale ( kitaaluma wapo vizuri) , hali ya hewa ni joto , wanafunzi wanachungwa "wanabanwa" sana wasizurure hovyo hovyo badala yake wasome sana.

Mwambie binti yako awe makini sana ajiepushe na wanafunzi wenzie wenye tabia mbaya za usagaji
Mazinde juu,na Marian kitaaluma zipo sawa na zote ziko chini ya kanisa katoliki.Kwa kuwa unasema mwanao alikuwa anasoma Mbeya labda anataka mazinde juu kwa ajili ya hali ya hewa inayofanana na Mbeya (kuna baridi sana).Kwa combination ya HGE nashauri mpeleke Mazinde kuliko Marian.Ni ushauri tu
 
Akili za kuambiwa changanya na za kwako, usifanye maamuzi kwa mihemko au ushabiki kwamba 'swaga huyo binti', 'kalishwa ujinga huyo', sijui kashawishiwa na wenzake, n,k. hizo zote ni 'assumptions' huna uhakika wala ushahidi nazo!, wewe unachofanya hapa ni nini? Si nawe pia "unalishwa ujinga' na wenzako? Mtu anakuambia 'swaga huyo', kwani huyo ni ng'ombe au mbuzi? Si binti yako!!?? Kama binti yako amepata alama nzuri hadi kuchaguliwa Marian na Mazinde ina maana ana uwezo kitaaluma, ana akili, ana uwezo wa kufikri, kwanini usikae naye, kwa upole, hekima na busara akueleze sababu zake nawe kisha uzipime kama zinaleta maana ama la?. Pia tafakari athari za 'kumswaga' binti yako kumpeleka katika shule asiyoipenda, kumbuka wewe kama mzazi una nafasi yako kwenye maamuzi lakini naye pia kama mwanafunzi anayo pia nafasi yake kwenye maamuzi ya shule gani anapaswa kwenda kusoma. Kumbuka SIO KILA SHULE NI NZURI AU MBAYA KWA KILA MTU.

Binafsi nilimuhamisha binti yangu hapo Marian alipomaliza kidato cha kwanza, niliyoyashuhudia yalitosha, (Sidhani kama hapa ni mahali sahihi kuelezea kwanini nilimuhamisha) lakini sijutii kumhamisha pale - nafarijika kwamba ulikuwa uamuzi sahihi. Shule ni zaidi ya taaluma, inapaswa pia kuwepo na uwiano wa kitaaluma na kimazingira pia, kuna kitu binti yako anajaribu kukueleza, labda hana maneo sahihi au lugha nzuri ya kukuezea - hebu msikilize na wala 'usimswage'.

Akili za kuambiwa changanya na za kwako
 
Akili za kuambiwa changanya na za kwako, usifanye maamuzi kwa mihemko au ushabiki kwamba 'swaga huyo binti', 'kalishwa ujinga huyo', sijui kashawishiwa na wenzake, n,k. hizo zote ni 'assumptions' huna uhakika wala ushahidi nazo!, wewe unachofanya hapa ni nini? Si nawe pia "unalishwa ujinga' na wenzako? Mtu anakuambia 'swaga huyo', kwani huyo ni ng'ombe au mbuzi? Si binti yako!!?? Kama binti yako amepata alama nzuri hadi kuchaguliwa Marian na Mazinde ina maana ana uwezo kitaaluma, ana akili, ana uwezo wa kufikri, kwanini usikae naye, kwa upole, hekima na busara akueleze sababu zake nawe kisha uzipime kama zinaleta maana ama la?. Pia tafakari athari za 'kumswaga' binti yako kumpeleka katika shule asiyoipenda, kumbuka wewe kama mzazi una nafasi yako kwenye maamuzi lakini naye pia kama mwanafunzi anayo pia nafasi yake kwenye maamuzi ya shule gani anapaswa kwenda kusoma. Kumbuka SIO KILA SHULE NI NZURI AU MBAYA KWA KILA MTU.

Binafsi nilimuhamisha binti yangu hapo Marian alipomaliza kidato cha kwanza, niliyoyashuhudia yalitosha, (Sidhani kama hapa ni mahali sahihi kuelezea kwanini nilimuhamisha) lakini sijutii kumhamisha pale - nafarijika kwamba ulikuwa uamuzi sahihi. Shule ni zaidi ya taaluma, inapaswa pia kuwepo na uwiano wa kitaaluma na kimazingira pia, kuna kitu binti yako anajaribu kukueleza, labda hana maneo sahihi au lugha nzuri ya kukuezea - hebu msikilize na wala 'usimswage'.

Akili za kuambiwa changanya na za kwako

Asante sana naoma uje private ndugu
 
ukienda kwenye ule uzi pendwa utasikia " nlkua natoka mbeya nkapanda basi flani hivi nikakaa siti moja na mtoto mzuri kama ka miaka 18 hvi, chuchu dodo kana uso wa kudeka macho ya kurembua yaan full mauzuri tu, katikati ya safari nkatupia swali la utani 'unaenda dar kutembea' mtoto akafunguka kua naenda shule huko bwagamoyo, ila shule yenyew siipendi nmelazimishwa na mama. basi baharia nikaona mwanya hapa, nkamwambia usijali ww nenda tu ukiwa umeboreka niambie uje town kunitembelea ila usihame hyo skul. safari imeendelea mpka tumefika dar, nkamtest mtoto kua leo pumzika kwangu kesho utaendelea na safari,......" mengine mtamalizia jinsi binti wa mleta thread alivoliwa kimasihara.

ni mtazamo tu

Mpumbavu ni mpumbavu tu - Wewe lazima ni mpumbavu umefanikiwa tu kujiunga na Jamii forum
 
Linapofika suala la elimu sio wakati wa kucheka na mtoto, kama mzazi unaona hiyo shule inamfaa mtoto wako (kielimu na maadili) basi swaga mtoto kama punda.

Visingizio kwa watoto huwa haviishi, na mara nyingi watoto hupenda sana kuambiana ujinga wao kwa wao mitaani, nahisi huyo binti yako katiwa ujinga.

Marian girls ni shule moja iko poa sana kimazingira (miundo mbinu ya uhakika, hali nzuri ya hewa, mazingira ya kuvutia, Usafi na usalama), tatizo kuu ni sheria zao kali, lakini ndio sheria nzuri kwa mtoto katika kumjenga.


Kwa nini Shule imjenge mtoto na siyo wewe? Acheni kukimbia majukumu kama hamuwezi kulea watoto acheni kuzaa na kuharibu vizazi.
 
Linapofika suala la elimu sio wakati wa kucheka na mtoto, kama mzazi unaona hiyo shule inamfaa mtoto wako (kielimu na maadili) basi swaga mtoto kama punda.

Visingizio kwa watoto huwa haviishi, na mara nyingi watoto hupenda sana kuambiana ujinga wao kwa wao mitaani, nahisi huyo binti yako katiwa ujinga.

Marian girls ni shule moja iko poa sana kimazingira (miundo mbinu ya uhakika, hali nzuri ya hewa, mazingira ya kuvutia, Usafi na usalama), tatizo kuu ni sheria zao kali, lakini ndio sheria nzuri kwa mtoto katika kumjenga.
labda vile kasikia shule inatizamana na makaburi!
 
ukienda kwenye ule uzi pendwa utasikia " nlkua natoka mbeya nkapanda basi flani hivi nikakaa siti moja na mtoto mzuri kama ka miaka 18 hvi, chuchu dodo kana uso wa kudeka macho ya kurembua yaan full mauzuri tu, katikati ya safari nkatupia swali la utani 'unaenda dar kutembea' mtoto akafunguka kua naenda shule huko bwagamoyo, ila shule yenyew siipendi nmelazimishwa na mama. basi baharia nikaona mwanya hapa, nkamwambia usijali ww nenda tu ukiwa umeboreka niambie uje town kunitembelea ila usihame hyo skul. safari imeendelea mpka tumefika dar, nkamtest mtoto kua leo pumzika kwangu kesho utaendelea na safari,......" mengine mtamalizia jinsi binti wa mleta thread alivoliwa kimasihara.

ni mtazamo tu

 
Back
Top Bottom