Ninakumbuka kuwa huwa kuna Taasisi zinapima furaha ya wananchi kwa kila nchi. Kuna wakati yule Makamu Mkuu wa Chuo cha Dar-es-Salaam aliyepita Prof. Mukandara aliwahi kuongea kwenye Kongamano la Mwl. Nyerere kuwa furaha kwa wananchi wa Tanzania imepungua kwa kiasi Fulani.
Sasa hizo Taasisi za kupima furaha ya wananchi wa nchi ikiwepo kuangalia feedback ya utafiti wa Prof. Mukandara wakilifanyia kazi jambo hili kwa Tanzania tutarajie matokeo yatakuwaje?
Hebu tujimwage
Sasa hizo Taasisi za kupima furaha ya wananchi wa nchi ikiwepo kuangalia feedback ya utafiti wa Prof. Mukandara wakilifanyia kazi jambo hili kwa Tanzania tutarajie matokeo yatakuwaje?
Hebu tujimwage