Hawa EGPAF wamekuwa wakitangaza kazi sana mpaka sasa najiuluza je hawa wanafund kiasi gani hicho au mazingira ya kazi siyo mazuri kiasi kwamba labda wafanyakazi wanaondoka kila wakati. Mwenye taarifa zaidi juu ya mazingira ya kazi kama mafunzo, mishahara basi atujuze .
Nawasilisha
Nawasilisha