BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
Ni kama kuna Watu wana nufaika na huu ugumu.
Mazingira au urahisi wa kufanya Biashara Tanzania bado changamoto ni nyingi sana, na nashindwa kuelewa je bado tunahitaj kwa hisani ya Watu wa Marekani ndo watusaidie?
Fikiria u aenda TRA unaambiwa anaye saini Docoments hayupo njoo wiki ijayo, ukienda Halishauri kwa ajili ya Leseni mambo ni yale yale utaamvia mara afisa wa Biashara yuko kwenye Ziara, mara ametoka mara ana udhuru njoo baada ya siku kadhaa utamkukuta.
Watendaji wanatembea na Offisi na kama hayupo hakuna kinacho fanyika sasa mbaya ukute anaumwa.
Hizi ni kero sana na usumbufu mkubwa hapo bado hujaongelea watendaji kukwepa kusaini Document na kutengeneza ubize ili tu uwatoe pesa.
Haya mambo yanapigiwa kelele miaka nenda rudi na hakuna anaye jali na nazani Serikali inanufaika na haya mazingira magumu ya kufanya Biashara Tanzania.
Mazingira au urahisi wa kufanya Biashara Tanzania bado changamoto ni nyingi sana, na nashindwa kuelewa je bado tunahitaj kwa hisani ya Watu wa Marekani ndo watusaidie?
Fikiria u aenda TRA unaambiwa anaye saini Docoments hayupo njoo wiki ijayo, ukienda Halishauri kwa ajili ya Leseni mambo ni yale yale utaamvia mara afisa wa Biashara yuko kwenye Ziara, mara ametoka mara ana udhuru njoo baada ya siku kadhaa utamkukuta.
Watendaji wanatembea na Offisi na kama hayupo hakuna kinacho fanyika sasa mbaya ukute anaumwa.
Hizi ni kero sana na usumbufu mkubwa hapo bado hujaongelea watendaji kukwepa kusaini Document na kutengeneza ubize ili tu uwatoe pesa.
Haya mambo yanapigiwa kelele miaka nenda rudi na hakuna anaye jali na nazani Serikali inanufaika na haya mazingira magumu ya kufanya Biashara Tanzania.