Gushleviv
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 3,437
- 5,146
Nyingi tuu. Ukienda Mbeya nenda Busokelo ukashangaeJe, huko kijijini kuna nyumba ngapi kama za Mwandosya?
Nyingi tuu. Ukienda Mbeya nenda Busokelo ukashangaeJe, huko kijijini kuna nyumba ngapi kama za Mwandosya?
Poverty thinking! unadhani huyo viberiti ananunua kimojakimoja kama wewe..pia hata ujui kuwa siku hizi kuna Majiko yana Lighter hapo hapoStock ya vibiriti ikiisha ghafla anaenda mjini au anatafuta ulindi na ulimbombo?
Maisha ya kuwaza kiberiti ni ya chini sana.
Mimi Mkinga ila nashinda Bungeni sana na Kariakoo nikiwa sipo bungeniNjoo kwangu Kajunjumele ushangae zaidi , nyumba za kawaida sana zinakuwehusha kisa mabati ya rangi , kwenu ni wapi mkuu ?