ya mufindi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 508
- 738
mwaka 1988 ulikutana moshi tech hapo hata baba yangu alikuwa hajawaza kukutana na mama mother alikuwa la sita huo mwaka. maisha ni mzunguko leo hii nipo moshi tech leo nimetoka kuchapa viboko vingi vya character assesment kwa vijana wanaokulana kimasihara katika mazingira hatarishi🤨🤨Mpande nilikutana nae kwenye 1988(mwaka themanini na nane) pale Moshi Tech japo mimi sikuawahi kusoma hiyo shule