Kwa hiyo baada ya kugundua hayo maujanja, sasa unaweza kupafom kama wanamazingaombwe? Mfano, unaweza kuingiza simu janja kwenye chupa ya soda?Tusiwe wavivu wakutafuta mambo tokea mada imetolewa mpaka leo bado amjajua tu kama si uchawi NICOLAX aligusia kuhusu muvi ya illusionist niliitafuta youtube nikakutana na jamaa mmoja ana vaa mask.Uule jamaa kaonesha mambo mengi sana mangine nilikua nayajua kitambo ila kuna mengine nimeyajua juzi tu kupitia huu uzi baada ya kutafuta youtube ni ujanja tu akuna uchawi.
Hapo hapo kwenye audience kukosa uwezo wa kujua kinachofanyika ndio swali lilipo? Is that a science?Nilishawahi kuangalia show moja inaitwa "The secrets of the magicians!" inaonesha how magicians perform their tricks and at times fool u! Inshort mazingaombwe ni maujanja flani huwa yanafanyika without the audience having a slightest idea o clue of what is taking place behind the scene!
Mi nadhani ni uchwawi. Kuna dada alitobolewa tumbo zikatika ndizi mbivu na watu wakala. Baadae tumbo likafunga bila kidonda wala kovu.Wakuu kipindi nipo primary nimeshuhudia sana hiki kinachoitwa mazingaombwe. Toka kipindi hicho nimekuwa nikijiuliza maswali ambayo mpaka sasa sijapata majibu yake. Baadhi ya maswali ni haya.
1. Je kuna uhusiano wowote kati ya uchawi na mazingaombwe?
2. Kama hakuna uhusiano, je ni nguvu gani wanazotumia?(maana kuna wasioamini uwepo wa Mungu wala uchawi).
3. Je kuna mahali wanasomea haya mambo?
4. Vipi kuhusu historia yake, na yana nafasi gani katika hii dunia ya utandawazi?
Natanguliza shukrani...karibuni.
...Mkuu Bujibuji, hii nahisi inafaa zaidi Kyle jukwaa LA Vichekeko!!!Kuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
Kuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
Lakini ile ni ana kwa ana, behind the scene hazina nafasiNilishawahi kuangalia show moja inaitwa "The secrets of the magicians!" inaonesha how magicians perform their tricks and at times fool u! Inshort mazingaombwe ni maujanja flani huwa yanafanyika without the audience having a slightest idea o clue of what is taking place behind the scene!
Member wa zamani mmepata umaarufu kwa uongo uongo kama hiviKuna siku nilienda kufanya mazingaombwe kule Sumbawanga. Nilikuwa na uwezo wa kumgeuza binadamu kuwa panya kisha nikamrudisha tena na kuwa binadamu.
Basi nikaenda sokoni nikawakusanya watu, nikamgeuza jamaa kuwa panya.
Kulikuwa na mama mmoja pembeni akajigeuza na kuwa paka, kisha akammeza yule panya, na baada ya hapo akarudi kwenye umbo lake la ubinadamu.
Nilijuta kuzaliwa, sitaki kukuelezea kilichotokea baada ya hapo.
Mkuu mtu ale dawa gani ili akitafuna hizo chupa na viwembe visimdhuru?Nyingine ni tricks nyingine ni uchawi...mfano ukiona MTU anaetafuna viwembe na chupa ujue hiyo kala dawa....na inakua pia kinga ya sumu...MTU anaekula viwembe..chupa ..sindano na pin...hafi kwa sumu iwe ya kulishwa..au kunyweshwa
Nipo hapa mkuu