Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,540
- 12,398
Habari za mchana wanajamvi?
Bila shaka shughuli zimekwenda vizuri katika muda huo wote tangu tumeanza pale asubuhi na mapema!
Jamani kuna wakati Miaka ya 1980 hadi mwisho wa miaka ya 1990 kulikuwa na watu waliotambulika kuwa wana mazingaombwe walikuwa wakija mashuleni wakati ule tupo shule za msingi.
Hawa jamaa alikuwa wakionesha mambo (michezo) mbalimbali ya kimazingaombwe; mfano kijiti kugeuzwa Penseli, kishikizo kugeuka Pelemende na kadhalika, swali linakuja hivi ni kwa namna gani yale mambo yalikuwa yakitokea je kuna uhusiano na ushirikina?
Wakati mwingine walikuwa wanajiita Pawa (Power) kwa maana ya mtu mwenye nguvu za ajabu waliweza kuzuia magari na pikipiki (sikuwahi kusikia kuhusu Treni)!
Na mbona imetoweka kabisa au ni kwa sababu ya kukuwa kwa sanyansi na Teknolojia ikihusisha kuwapo kwa michezo mingi ya kiteknolojia zaidi au kuna sababu nyingine ya kutowesha hiyo michezo?
Bila shaka shughuli zimekwenda vizuri katika muda huo wote tangu tumeanza pale asubuhi na mapema!
Jamani kuna wakati Miaka ya 1980 hadi mwisho wa miaka ya 1990 kulikuwa na watu waliotambulika kuwa wana mazingaombwe walikuwa wakija mashuleni wakati ule tupo shule za msingi.
Hawa jamaa alikuwa wakionesha mambo (michezo) mbalimbali ya kimazingaombwe; mfano kijiti kugeuzwa Penseli, kishikizo kugeuka Pelemende na kadhalika, swali linakuja hivi ni kwa namna gani yale mambo yalikuwa yakitokea je kuna uhusiano na ushirikina?
Wakati mwingine walikuwa wanajiita Pawa (Power) kwa maana ya mtu mwenye nguvu za ajabu waliweza kuzuia magari na pikipiki (sikuwahi kusikia kuhusu Treni)!
Na mbona imetoweka kabisa au ni kwa sababu ya kukuwa kwa sanyansi na Teknolojia ikihusisha kuwapo kwa michezo mingi ya kiteknolojia zaidi au kuna sababu nyingine ya kutowesha hiyo michezo?