Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Na habari zake n za waislamu tuuMzee hajielewi huyu ana udini sana...sasa hapo kuna watu wengi kuzidi misiba ya Mzee Nyerere, Kanumba na Rais John Pombe Magufuli??Muda mwingine tuweni wa kweli na wawazi hii mitandao isitudanganye kwa faida yako au dini yako
Mzee kifupi n mdini japo anamambo mengi ya manufaa kwa umma ila sipendi anapoingiza Sana udini
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app