Paul kimario
Member
- Jun 4, 2017
- 5
- 2
Wanajamii forum napenda mnishauri kwani nataka nianze kulima kigamboni sina shamba nataka nikodi naomba kujua gharama za kukodi shamba Kuandaa , mazao yanayostawi nk naombeni mnisaidie
Nina shamba kigamboni mwasonga nakodisha msimu moja kwa laki moja lina maji na walinzi, kwa sasa zimebaki heka 10Wanajamii forum napenda mnishauri kwani nataka nianze kulima kigamboni sina shamba nataka nikodi naomba kujua gharama za kukodi shamba Kuandaa , mazao yanayostawi nk naombeni mnisaidie
Laki moja kwa heka moja au? na linafaa kwa kilimo kp?Nina shamba kigamboni mwasonga nakodisha msimu moja kwa laki moja lina maji na walinzi, kwa sasa zimebaki heka 10
Laki kwa heka, kilimo chochote isipokuwa vitunguu, tangawizi, cabbage nilishawahi kulima ila hazikutoka vizuriLaki moja kwa heka moja au? na linafaa kwa kilimo kp?
Linafaa kwa kilimo gani mkuuNina shamba kigamboni mwasonga nakodisha msimu moja kwa laki moja lina maji na walinzi, kwa sasa zimebaki heka 10
punguza bei mkuu fanya 50 unipe hekari tatuNina shamba kigamboni mwasonga nakodisha msimu moja kwa laki moja lina maji na walinzi, kwa sasa zimebaki heka 10
Si dhani kama Kuna mkulima hapaAlzeti linastahili,tupia hapa namba zako basi
Ingekuwa vizuri ungekuja kuona eneo lenyewe ukiridhika tutaongeapunguza bei mkuu fanya 50 unipe hekari tatu