Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 643
Naam mm ni mkulima ambae nimekua nikilima mihogo sana, sasa naona ardhi yangu inaanza kupunguza uzalishaji. Nimewahi kuskia nikilima mihogo pamoja na mazao mengine yanayoendana yataongeza rotuba ya udongo.
Msaada, ni mazao gani hayo?
Msaada, ni mazao gani hayo?