Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 13,190
- 21,522
Hahaaaa.. Mkuu punguza jazba. Mi mwenyewe nimeelewa na ndio maana nimeshangaa. Antony Joshua na li mwili lote akapigane na Mayweather kweli.? Hapo umepuyanga mzeeWe kichwa ngumu hans kaelewa fuatilia jibu hapo juu mkuu umepiga cha arusha nn
usipanic brother
Jokes tu