chibuga mugeta
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,176
- 1,055
Huyu naye keshaaibika alikuwa anatafuta vyeo,tumbo njaa ,haya majina tunapowaita watoto tuwe makini saaaaana,mayala means njaaMkuu Mbase, with due respect, Simple mind, discus people, Ordinary mind discus events na Great Mind discus ideas.
Mtu kuwa presidential material ni possession of presidential virtues, ukiisha kuwa, you are!.
Hivyo bandiko hili
bado liko validBaada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!
Wanabodi, Kabla Magufuli hajawa rais wetu, sisi wengine wenu tulijua tangu mwaka 2014 na tukasema humu!.Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli Miongoni mwa sifa zilizomuibua Magufuli ni sifa inayoitwa "uthubutu" boldness and sometimes unreasonably boldness...www.jamiiforums.com
P