Mayai ya kuku wa kisasa na kienyeji unachopaswa kujua

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Niliwahi sema kwamba Commercial Breeds ni mbili pekee nazo ni

1. Layers
2. Broiler.

Sasa kuna watu wanakuja na hoja mfu mara kuroiler mara sijui nini.

LAYERS

Layers kuku wa mayai ndo wanaotaga mayai ambayo yana demand kubwa sana na yana matumizi mengi sana.

1.Kukaangia Chips.
Haya ni matumizia makuu ya mayai. Wakaanga chips ndo consumer namba 1 wa mayai kwa miji mikubwa kama Dar au Morogoro au Mwanza na Pia Arusha.

Chips mayai ni chakula cha lower income au watu wa kipato cha chini na hawa ndo wengi sana Tanzania hii.

Mayai yanayotumika nadhani mnayajua.

2. Viwanda vya Bekary.
Hawa ni watumiaji wengine wakubwa kabisa wa mayai. Viwanda kwa sasa ni vingi sana kutokana na life style ya sasa.

Hivi viwanda havitumii mayai ya kienyeji hata siku moja kwanza hawana huo muda.

3. Mahotelini.

Mahoteli yote makubwa kwa madogo pia ni watumiaji wakubwa sana wa mayai haya.

Nina watu wangi wana oda za trei kwa trei za mayai kwenye hoteli kubwa.

4. Viwanda.

Kuna viwanda kadhaa pia hutumia mayai kwenye shughuli zao.

5. Matumizi ya nyumbani.

Haya ndo matumizi ya mwisho na madogo sana.
Hapa sasa ndo kienyeji inapochukua advanantage.

MAYAI YA KUKU WA KIENYEJI.

Haya yana matumizi ya aina moja tu.

1. Matumizi majumbani kwa ajili ya kula na kukaangia watoto au kuchemsha na kunywea chai.

Hapa unakutana na Middle class ambao ndo watumiaji na pia ni wachache sana tena mno.

Hivyo hakuna namna mayai ya kienyeji yakashindana na mayai ya kisasa na acheni story za vijiweni na FB kudanganyana.

KINACHOANGAMIZA WATU

Watu wengi ninaowaitaga washikiwa akili huja na madai ya bei..

Kinachoangamiza watu ni kuona kwamba trei ya mayai ya kisasa ni bei ya chini na trei ya mayai ya kienyeji iko juu.

Hilo nakubaliana nalo.

Ila bei haidetermine profiti hata siku 1.

ANGALIA

1. Pay back period ya biashara hicho ndo muhimu.

2. Mahitaji makubwa yako wapi?

Hili swala la bei huwa linamaliza watu wengi na si kwenye mayai tu bali hata kwenye kilimo na mambo mengine.
 
CHASHA FARMING Mkuu salaam.
Kwanza nikubaliane na wewe katika hilo, binafsi nina layers na hao kuroiler, na hicho unachokisema nakiona vizuri sana, changamoto ya soko la mayai ya kienyeji naiona ila kwa upande wangu kwa kuwa nina kuku wachache output yao ni trei 2 kwa siku kwa hiyo namudu kuyauza.

Kwa upande wa layers, naomba ushauri wako maana mrejesho kutoka kwa wateja ni kuwa mayai ya kuku wangu madogo, kitu gani hakiko sawa?

Asante.
 
Mkuu salaam.
Kwanza nikubaliane na wewe katika hilo, binafsi nina layers na hao kuroiler, na hicho unachokisema nakiona vizuri sana, changamoto ya soko la mayai ya kienyeji naiona ila kwa upande wangu kwa kuwa nina kuku wachache output yao ni trei 2 kwa siku kwa hiyo namudu kuyauza.

Kwa upande wa layers, naomba ushauri wako maana mrejesho kutoka kwa wateja ni kuwa mayai ya kuku wangu madogo, kitu gani hakiko sawa?

Asante.
Asante kwa kulioma hilo mkuu. watu ni wabishi. Kuuza sijui mayai chotara ni shughuri pevu.

Kuhusu Ukubwa sijajua wana muda gani tangu waanze kutaga na pia aina ya breeds yaani hao layers ni aina ipi make kuna aina.

Pia na chakula unacho walisha
 
Wakuu nahitaji Vifaranga wa layers, toka vimepigwa marufuku toka kenya sijajua naweza pata wapi ambao ni wazuri na wanaokua kwa haraka
 
Niliwahi sema kwamba Commercial Breeds ni mbili pekee nazo ni

1. Layers
2. Broiler.

Sasa kuna watu wanakuja na hoja mfu mara kuroiler mara sijui nini.

LAYERS

Layers kuku wa mayai ndo wanaotaga mayai ambayo yana demand kubwa sana na yana matumizi mengi sana.

1.Kukaangia Chips.
Haya ni matumizia makuu ya mayai. Wakaanga chips ndo consumer namba 1 wa mayai kwa miji mikubwa kama Dar au Morogoro au Mwanza na Pia Arusha.

Chips mayai ni chakula cha lower income au watu wa kipato cha chini na hawa ndo wengi sana Tanzania hii.

Mayai yanayotumika nadhani mnayajua.

2. Viwanda vya Bekary.
Hawa ni watumiaji wengine wakubwa kabisa wa mayai. Viwanda kwa sasa ni vingi sana kutokana na life style ya sasa.

Hivi viwanda havitumii mayai ya kienyeji hata siku moja kwanza hawana huo muda.

3. Mahotelini.

Mahoteli yote makubwa kwa madogo pia ni watumiaji wakubwa sana wa mayai haya.

Nina watu wangi wana oda za trei kwa trei za mayai kwenye hoteli kubwa.

4. Viwanda.

Kuna viwanda kadhaa pia hutumia mayai kwenye shughuli zao.

5. Matumizi ya nyumbani.

Haya ndo matumizi ya mwisho na madogo sana.
Hapa sasa ndo kienyeji inapochukua advanantage.

MAYAI YA KUKU WA KIENYEJI.

Haya yana matumizi ya aina moja tu.

1. Matumizi majumbani kwa ajili ya kula na kukaangia watoto au kuchemsha na kunywea chai.

Hapa unakutana na Middle class ambao ndo watumiaji na pia ni wachache sana tena mno.

Hivyo hakuna namna mayai ya kienyeji yakashindana na mayai ya kisasa na acheni story za vijiweni na FB kudanganyana.

KINACHOANGAMIZA WATU

Watu wengi ninaowaitaga washikiwa akili huja na madai ya bei..

Kinachoangamiza watu ni kuona kwamba trei ya mayai ya kisasa ni bei ya chini na trei ya mayai ya kienyeji iko juu.

Hilo nakubaliana nalo.

Ila bei haidetermine profiti hata siku 1.

ANGALIA

1. Pay back period ya biashara hicho ndo muhimu.

2. Mahitaji makubwa yako wapi?

Hili swala la bei huwa linamaliza watu wengi na si kwenye mayai tu bali hata kwenye kilimo na mambo mengine.
Mkuu una vifaranga vya layers na unaviuza bei gani
 
Asante kwa kulioma hilo mkuu. watu ni wabishi. Kuuza sijui mayai chotara ni shughuri pevu.

Kuhusu Ukubwa sijajua wana muda gani tangu waanze kutaga na pia aina ya breeds yaani hao layers ni aina ipi make kuna aina.

Pia na chakula unacho walisha
mimi nataka uniondoe wasiwasi juu ya kile kinacho semwa kuwa mayai ya kisasa yana madhara. Je jambo hili linaukweli wowote? kitaalamu hii imekaaje... na kama yana madhara, hayo madhara yanajikita wapi hasa kuharibu moyo, kusababisha kansa au kuleta shinikizo la damu? naomba ufafanuzi tafadhali
 
mimi nataka uniondoe wasiwasi juu ya kile kinacho semwa kuwa mayai ya kisasa yana madhara. Je jambo hili linaukweli wowote? kitaalamu hii imekaaje... na kama yana madhara, hayo madhara yanajikita wapi hasa kuharibu moyo, kusababisha kansa au kuleta shinikizo la damu? naomba ufafanuzi tafadhali
We kula kufa utakufa tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom