Ok.wanajf mimi pia ni mfugaji mkongwe nipo kibamba njia panda ya shule. Kuku wangu wanakula nje ni wa kienyeji 100% ninayo majogoo nayauza tsh 20,ooo mitetea 17,ooo..not negotiable!!sec mayai yapo kwa order safi kwa watoto ,wagonjwa,na kwa matumizi ya kawaida,nayo ni ya kienyeji kwa asilimia 100% bei yake kwa tray ni 15,000.pia kwa wafugaji wa bata mzinga ninao wadogo wa miezi miwili, na miezi minne hapa bei ni maelewano..zaidi ya yote wanajf hasa mama joe/wengine, tutafutane tupeane updates za ufugaji bora na makini..it can be done play your part........................my cellphone.......0782-44-84-63
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.