Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Jaribio hili halina zaidi ya miezi 9 Sijajua itakuwaje baadae ila vifaranga wamekua na wamefikia kutaga ninawatunza kienyeji yaani wanatembea tembea nje.
Mwaka sasa, nini kinaendelea mkuu?
Jaribio hili halina zaidi ya miezi 9 Sijajua itakuwaje baadae ila vifaranga wamekua na wamefikia kutaga ninawatunza kienyeji yaani wanatembea tembea nje.
Mama Joe
Hope unazungumzia mayai, unaweza kupata kesho yake. Tunaweza kuonana mitaa ya posta kuanzia j'tatu-ijumaa. siku za w'end nakuwa tight sana. Nafikiri tupange tu yote yanawezekana
mkuu habari? bado unaendelea na ufugaji? ningetaka kujua kama naweza kupata vifaranga vya Malawi au kama una vifaranga vya kuku wa kienyeji
Nahitaji mayai ya kenbro tray1 naweza kupata?.
Mkuu tulionayo ni chotara ya kuchi kenbro na rhode
Wafugaji oyeee
Vifaranga kienyeji/chotara wanapatikana (cross ya red rhode Ireland &kuchi )
Vifaranga kwa oda
1-3day old chick 2000
Tunapatikana mbezi mwisho (Mbezi ya kimara) mwanzoni mwa njia ya goba
0712057514
Karibuni sana
Bado vifaranga wanapatikana na pia tumeongeza mbegu ya kenbro ktk kundi.
Unaponunua vifaranga kwetu unapata fursa ya kupata chakula cha kuanzia (Starter) hii ni kuhakikisha vifaranga wanaendelea kukua katika ubora ule ule.
Kwa yeyote anayefanya biashara ya dagaa wa mwanza wa kuku na mashudu ya pamba, plz tuwasiliane
Mayai huwezi pata mkuu
Salamu mkuu
samahani , manzese ni sehemu gani hasa wanakouza pumba?
pia niliona kuna mtu kakwambia wanayo na mashudu, ulifanikiwa kupata?
Nina mayai nataka nitotoleshee vp hiyo huduma unatoa?
Pale manzese pana mashine nyingi za kukoboa na kusaga mahindi. Mashudu pia yapo mkuu
Nahitaji mayai fertilized ya kienyeji na chotara nipo Dar.
Wafugaji wapya na wote wenye ina ya kufuga kuku wa kienyeji hamjachelewa VIFARANGA bado vinapatikana
mama john nisaidie mawasiliano yako nataka hizo mbegu 2 za mwisho.Mama Joe
Hawa kuku ni wa kienyeji, ninazo mbegu tatu tofauti (Kienyeji asili, Kuchi chotara na Rhode red island)
Kuhusu chakula kuna mtu alitaka mchanganuo kwa style hiyo ili apate mwanga kidogo ila kawaida kuku wa kienyeji hawaitaji chakula cha dukani japo wakila hicho cha dukani haina shida yoyote. Ndo maana pia nikasema gharama ya chackula itapungua kulingana na mahali na mahali, kulingana na upatikanaji.
Asante
mama john nisaidie mawasiliano yako nataka hizo mbegu 2 za mwisho.