Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,025
Nilikuwa nafanya topographical survey katika pori moja maeneo ya Ifunda-Iringa kwa ajili ya ku-establish stone quary kwa ujenzi wa Iringa-mafinga highway,msaidizi wangu alimkurupua bundi kutoka kiota chake na akafanikiwa kutwaa mayai yake mawili.
Ninavyojua mimi mayai haya ni bonge la dili endapo mtu ana bonge la kesi isiyokuwa na dalili ya kuisha yaani hata kama ulimbaka mtoto wa rais au mauaji,kesi inafutwa faster faster bila maswali na unaachiwa huru.
Au kama unataka utajiri pia yanafaa na huwa hayapatikani kizembe.Najua wengi mtaponda lakini kuna wale wanaoyahitaji watani-PM sasa hivi,nakaribisha request zenu.
Ninavyojua mimi mayai haya ni bonge la dili endapo mtu ana bonge la kesi isiyokuwa na dalili ya kuisha yaani hata kama ulimbaka mtoto wa rais au mauaji,kesi inafutwa faster faster bila maswali na unaachiwa huru.
Au kama unataka utajiri pia yanafaa na huwa hayapatikani kizembe.Najua wengi mtaponda lakini kuna wale wanaoyahitaji watani-PM sasa hivi,nakaribisha request zenu.