Nawe unaendelea kuyatafuta?Mi nakwambia tafuta ukiyapata nakutoa namba za mnunuz bila Mimi kuingilia biashara zenu
Mkuu ni bundi wa nchi yoyote tu au hawa bloirer hawahitajiki??Habari zenu!
Naomba leo nitoe ushuhuda hapa jukwaani. Kwanza nipende kutoa shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuniweka hai kwani wengi Sana walitani kuishi ama kupata bahati Kama yangu lakini hajaweza kupata...
Kama unaweza kuyapata mzee fanya kuyasaka cku utakuja unishukuru
Habari zenu!
Naomba leo nitoe ushuhuda hapa jukwaani. Kwanza nipende kutoa shukurani kwa Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kuniweka hai kwani wengi Sana walitani kuishi ama kupata bahati Kama yangu lakini hajaweza kupata...
mkuu ni bundi wa nchi yoyote tu au hawa bloirer hawahitajiki??
Waswahili mmeshindikanaWale bundi wa kienyeji mkuu
He is my everythingRafiki na wewe unataka kutoka au Yesu anatosha?
Sina saivi ngoja niongee na wana wa kijijiniKama unayo naomba uje pm
Kwa kweli sitaki kuaminiKaka huwezi amin