lucky lefty
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 491
- 454
Kumekuwa na wimbi la uingizwaji na utengenezwaji wa mayai na michele feki nchini Tanzania na Afrika kiujumla.
Nachotaka kufahamu kwa wenzetu watanzania ambao wameajiriwa kwenye hivyo viwanda vya uchochoroni vinavyotengeneza hizi bidhaa, implications zao kisheria zinakuaje. Maana kwa hali tata ya sasa ya ajira nchini sidhani kama mtu atakataa ajira yoyote itayojitokeza, sasa kisheria nao ni wataajibishwa au ni wamiliki tu ambao wataajibishwa, naomba kufahamu hilo.
Pili ni nini madhara ya kutumia hizo bidhaa kiafya kwa mtu ambaye hajajua au akiwa tayari keshatumia.
\
Nachotaka kufahamu kwa wenzetu watanzania ambao wameajiriwa kwenye hivyo viwanda vya uchochoroni vinavyotengeneza hizi bidhaa, implications zao kisheria zinakuaje. Maana kwa hali tata ya sasa ya ajira nchini sidhani kama mtu atakataa ajira yoyote itayojitokeza, sasa kisheria nao ni wataajibishwa au ni wamiliki tu ambao wataajibishwa, naomba kufahamu hilo.
Pili ni nini madhara ya kutumia hizo bidhaa kiafya kwa mtu ambaye hajajua au akiwa tayari keshatumia.
\