Maximum speed for Kenya's SGR will be 110 km/h and not 120km/h as earlier quoted

Nimeona pia electric SGR ya Uganda itakuwa 100 km/hr kwa 120km/hr according to there design. Kuna sehemu TZ itafika hadi 240km/hr
Wala hakutakuwepo na SGR ya Kampala Malaba, Kenya haitojenga kipande cha Kisumu to Malaba, badala yake watatumia bandari ya Kisumu kufikisha mizigo ya Uganda na South Sudan. Kenya wakifikisha SGR Malaba, watakuwa wanainyima mizigo bandari ya Kisumu ambayo uhai wake unatigemea kupokea mizigo toka bandari ya Mombasa
 
Wala hakutakuwepo na SGR ya Kampala Malaba, Kenya haitojenga kipande cha Kisumu to Malaba, badala yake watatumia bandari ya Kisumu kufikisha mizigo ya Uganda na South Sudan. Kenya wakifikisha SGR Malaba, watakuwa wanainyima mizigo bandari ya Kisumu ambayo uhai wake unatigemea kupokea mizigo toka bandari ya Mombasa
Itakuwa safi sana maana tutakuwa na more room to compete with them!
 
Dangote amefunga kiwanda chake cha saruji sababu ikiwa ukosaji wa umeme...Bullet train itatoboa bongo kweli? kaka
Dangote likes to be baby seated. Anapenda vya dezo. Mbona viwanda vingine vinazalisha kwa umeme ule ule na kwa garama zile zile za umeme? If he cant compete on the fair platform, let him close and leave. There are many cement plants in Tanzania lately. More than seven actualy.
 
Wala hakutakuwepo na SGR ya Kampala Malaba, Kenya haitojenga kipande cha Kisumu to Malaba, badala yake watatumia bandari ya Kisumu kufikisha mizigo ya Uganda na South Sudan. Kenya wakifikisha SGR Malaba, watakuwa wanainyima mizigo bandari ya Kisumu ambayo uhai wake unatigemea kupokea mizigo toka bandari ya Mombasa
Lakini hawawezi fikisha reli Kisumu wakashindwa fika Malaba kwani kipande nikidogo sana. SGR inaumuhimu kwa Uganda kuliko Kisumu. Nauwakika wakifika Kisumu lazima ifike Malaba. Tuwe wakweli katika hili.
 
Lakini hawawezi fikisha reli Kisumu wakashindwa fika Malaba kwani kipande nikidogo sana. SGR inaumuhimu kwa Uganda kuliko Kisumu. Nauwakika wakifika Kisumu lazima ifike Malaba. Tuwe wakweli katika hili.
Hahaha leo jiwe baridi amevuliwa nguo mbele ya watu. Infact port ya Kisumu haijakuwa ikifanya Kazi kwa miaka zaidi ya kumi sasa. The port of Kisumu is almost useless to the Kenyan economy.
 
Hahaha leo jiwe baridi amevuliwa nguo mbele ya watu. Infact port ya Kisumu haijakuwa ikifanya Kazi kwa miaka zaidi ya kumi sasa. The port of Kisumu is almost useless to the Kenyan economy.
Kuna mpango wakujenga pia SGR kutoka Tanga to Musoma Port pia hapo SGR yenu itakuwa imepata pigo jingine kubwa
 
Back
Top Bottom