Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,721
- 155,374
Unamkumbuka kwa jema lipi ambalo linapaswa kuendelezwa au kwa baya lipi ambalo halitakiwi kurudiwa tena?
namkumbuka maximo kwa kuwa na KINYONGO na WIVU wa KIKE...kambania J KASEJA mwanzo mwisho wakati dunia nzima inajua kaseja ni tanzania one...matokeo yake tukapigwa 5-1 na brazil chovu ya Dunga
pia namkumbuka kwa kuhimiza nidhamu timu ya taifa wakati yeye mwenyewe "MAXIMO" hana hiyo nidhamu anayohubiri...kwa ufupi namkumbuka KAMA MNAFIKI FLANI ALIYEITUMIKIA TIMU YA TAIFA KWA FUNGU KUBWA KULIKO KOCHA YEYOTE MZAWA"....BILA MAFANIKIO YA KOMBE HATA LA KUKU
namkumbuka maximo kwa kuwa na KINYONGO na WIVU wa KIKE...kambania J KASEJA mwanzo mwisho wakati dunia nzima inajua kaseja ni tanzania one...matokeo yake tukapigwa 5-1 na brazil chovu ya Dunga
pia namkumbuka kwa kuhimiza nidhamu timu ya taifa wakati yeye mwenyewe "MAXIMO" hana hiyo nidhamu anayohubiri...kwa ufupi namkumbuka KAMA MNAFIKI FLANI ALIYEITUMIKIA TIMU YA TAIFA KWA FUNGU KUBWA KULIKO KOCHA YEYOTE MZAWA"....BILA MAFANIKIO YA KOMBE HATA LA KUKU[
dunia haimjui kaseja bwana acha kuutia aibu ulimwengu wa soka, isitoshe kufungwa tano na timu iliyokuwa inashika na nafasi ya kwanza kwa ubora duniani siyo ishu,mbona huyo kaseja mwenyewe alipigwa tano na wale wadudu wachovu wa misri,
acha kuleta comment za usimba na uyanga.
maximo yuko juu hata kama humpendi eti kwasababu ya kaseja. kaseja ndo nani? kashaidakia timu ya taifa mara kibao tu hata kabla ya maximo bila ya mafanikio yoyote.
namkumbuka maximo kwa kuwa na KINYONGO na WIVU wa KIKE...kambania J KASEJA mwanzo mwisho wakati dunia nzima inajua kaseja ni tanzania one...matokeo yake tukapigwa 5-1 na brazil chovu ya Dunga
pia namkumbuka kwa kuhimiza nidhamu timu ya taifa wakati yeye mwenyewe "MAXIMO" hana hiyo nidhamu anayohubiri...kwa ufupi namkumbuka KAMA MNAFIKI FLANI ALIYEITUMIKIA TIMU YA TAIFA KWA FUNGU KUBWA KULIKO KOCHA YEYOTE MZAWA"....BILA MAFANIKIO YA KOMBE HATA LA KUKU[
dunia haimjui kaseja bwana acha kuutia aibu ulimwengu wa soka, isitoshe kufungwa tano na timu iliyokuwa inashika na nafasi ya kwanza kwa ubora duniani siyo ishu,mbona huyo kaseja mwenyewe alipigwa tano na wale wadudu wachovu wa misri,
acha kuleta comment za usimba na uyanga.
maximo yuko juu hata kama humpendi eti kwasababu ya kaseja. kaseja ndo nani? kashaidakia timu ya taifa mara kibao tu hata kabla ya maximo bila ya mafanikio yoyote.
U'simba na U'yanga kila sehemu!!
namkumbuka maximo kwa kuwa na kinyongo na wivu wa kike...kambania j kaseja mwanzo mwisho wakati dunia nzima inajua kaseja ni tanzania one...matokeo yake tukapigwa 5-1 na brazil chovu ya dunga
pia namkumbuka kwa kuhimiza nidhamu timu ya taifa wakati yeye mwenyewe "maximo" hana hiyo nidhamu anayohubiri...kwa ufupi namkumbuka kama mnafiki flani aliyeitumikia timu ya taifa kwa fungu kubwa kuliko kocha yeyote mzawa"....bila mafanikio ya kombe hata la kuku