Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 633
Kuanzia jana vyombo mbalimbali vya habari hapa nyumbani vimekuwa vikitoa taarifa ya Maximo kuonyesha nia ya kurudi tena kuifundisha Taifa Stars. Amekaririwa akilaumu utaratibu wa kuacha chipkizi nz kujumuisha wakongwe kwenye kikosi. Sasa swali, je huo ndio muarobaini wa tatizo lenyewe? Je, Maximo ni bora kuliko Paulsen? Je, mbona hatuzungumzii mfumo mzima wa uendeshaji wa soka letu kwa ujumla wake?
Nawasilisha......
Nawasilisha......