Waziri wa sayansi na
technologia aliwahi kusema mmiliki wa jamii forum hafahamiki na alikiri
kuwa mtandao huu umesajiliwa nje ya nchi je mmiliki wa mtandao huu ni
nanii au kinanani
Mmiliki anaitwa Julian Assange. Mchagga flani hivi.
Ukimpata nakupa zawadi ya kuniwekea $1mil. kwenye acc yanguHata mimi namtafuta
Hata mimi namtafuta
Waziri wa sayansi na technologia aliwahi kusema mmiliki wa jamii forum hafahamiki na alikiri kuwa mtandao huu umesajiliwa nje ya nchi je mmiliki wa mtandao huu ni nanii au kinanani
Wamiiliki wa JF ni Mwigulu Nchemba, Nape nnauye, Abrahamani kinana, Asharose Migiro, Mzee wa kilimo cha nyanya (Mangula) na yule mwenye sura ya kazi (Wasira).
Itasaidia kuwakamata wanaoigawa nchi kimajimbo.
watu wanajibu pumba lakini jamaa hajakosea kuuliza swali kama hilo...!
Waziri wa sayansi na technologia aliwahi kusema mmiliki wa jamii forum hafahamiki na alikiri kuwa mtandao huu umesajiliwa nje ya nchi je mmiliki wa mtandao huu ni nanii au kinanani
Waziri wa sayansi na technologia aliwahi kusema mmiliki wa jamii forum hafahamiki na alikiri kuwa mtandao huu umesajiliwa nje ya nchi je mmiliki wa mtandao huu ni nanii au kinanani
Mmiliki wa 'Waoem' (sio 'Sisiem' wala 'Nyinyiem') ni nani maana nako kuna members kama humu?