Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Kwanza nikupe hongera wewe binafsi kwa kitendo cha kishujaa sana cha kusimamia kile unachoamini ni haki bila kujali nguvu za unayepambana nae.
Naomba nimquote R. F. K akisema
“ Few will have the greatness to bend history itself, but each of us can work to change a small portion of events. It is from numberless diverse acts of courage and belief that human history is shaped. Each time a man stands up for an ideal, or acts to improve the lot of others, or strikes out against injustice, he sends forth a tiny ripple of hope, and crossing each other from a million different centers of energy and daring those ripples build a current which can sweep down the mightiest walls of oppression and resistance.
Robert F. Kennedy
Pili niwapongeze wote, kasoro CCM, waliokupigania kwa njia
mbalimbali kuhakikisha kuwa kwa wewe na kile unachokisimamia, haki inatendeka.
Binafsi nimesoma na kutizama na kusikia kutoka vyombo mbalimbali vilio, hoja, mitazamo mbalimbali kuhusu kile unachokisimamia, uhuru wa mtu kutoa maoni yake.
Nimeona clip moja YouTube unaposikika ukisema wewe huna tatizo na mtu yoyote katika sakata hili kwa kuwa walikuwa wakitimiza wajibu wao.
Na hapa haswa ndio linapotokea swali langu; tutapambanaje na sheria kandamizi juu ya uhuru wa kutoa maoni, juu ya uonevu, bila ya kupambana na wakandamizi /waonevu?
Nitajitahidi kukuonyesha wakandamizi /waonevu hao.
Serikali iliyoko madarakani ni serikali ya CCM. Inatekeleza ilani ya CCM. Ilani ya CCM ni kandamizi kwakuwa imeandikwa na wakandamizi.
Katika mambo mengi ya kikandamizi, imewaelekeza wakandamizi ndani ya serikali kutunga, kupitisha na kusign sheria kandamizi juu ya utoaji wa maoni.
Hapa naongelea wizara ya habari na michezo chini ya Nape Nauye, wabunge wa CCM na rais Magufuli.
Sasa ndugu Melo na wadau humu ndani mnisaidie ; tutapambanaje na panga bila ya kupambana na mwenye panga?
Kwa maoni yangu, CCM ndio chama kandamizi, chenye ilani kandamizi, wabunge kandamizi, rais kandamizi na wote kwa pamoja ndio wanaozaa sheria kandamizi. Tukiwaondoa hawa kwenye nafasi ya kutukandamiza nakuhakikishia hawata acha kitu nyuma.
WATAONDOKA NA SHERIA ZAO KANDAMIZI.
Naomba nimquote R. F. K akisema
“ Few will have the greatness to bend history itself, but each of us can work to change a small portion of events. It is from numberless diverse acts of courage and belief that human history is shaped. Each time a man stands up for an ideal, or acts to improve the lot of others, or strikes out against injustice, he sends forth a tiny ripple of hope, and crossing each other from a million different centers of energy and daring those ripples build a current which can sweep down the mightiest walls of oppression and resistance.
Robert F. Kennedy
Pili niwapongeze wote, kasoro CCM, waliokupigania kwa njia
mbalimbali kuhakikisha kuwa kwa wewe na kile unachokisimamia, haki inatendeka.
Binafsi nimesoma na kutizama na kusikia kutoka vyombo mbalimbali vilio, hoja, mitazamo mbalimbali kuhusu kile unachokisimamia, uhuru wa mtu kutoa maoni yake.
Nimeona clip moja YouTube unaposikika ukisema wewe huna tatizo na mtu yoyote katika sakata hili kwa kuwa walikuwa wakitimiza wajibu wao.
Na hapa haswa ndio linapotokea swali langu; tutapambanaje na sheria kandamizi juu ya uhuru wa kutoa maoni, juu ya uonevu, bila ya kupambana na wakandamizi /waonevu?
Nitajitahidi kukuonyesha wakandamizi /waonevu hao.
Serikali iliyoko madarakani ni serikali ya CCM. Inatekeleza ilani ya CCM. Ilani ya CCM ni kandamizi kwakuwa imeandikwa na wakandamizi.
Katika mambo mengi ya kikandamizi, imewaelekeza wakandamizi ndani ya serikali kutunga, kupitisha na kusign sheria kandamizi juu ya utoaji wa maoni.
Hapa naongelea wizara ya habari na michezo chini ya Nape Nauye, wabunge wa CCM na rais Magufuli.
Sasa ndugu Melo na wadau humu ndani mnisaidie ; tutapambanaje na panga bila ya kupambana na mwenye panga?
Kwa maoni yangu, CCM ndio chama kandamizi, chenye ilani kandamizi, wabunge kandamizi, rais kandamizi na wote kwa pamoja ndio wanaozaa sheria kandamizi. Tukiwaondoa hawa kwenye nafasi ya kutukandamiza nakuhakikishia hawata acha kitu nyuma.
WATAONDOKA NA SHERIA ZAO KANDAMIZI.