BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Taasisi zote sasa zinafanya kazi vile atakavyo uchwara. Kwa maneno mengine hakuna kazi yoyote inayofanywa wakati uchwara mwenyewe ndiye mlezi na mtoa rushwa mkubwa hadi ndani ya Bunge.
Tunatengeneza taasisi nyingi sana imara kuzuia rushwa lakini kama watu hawabadiliki ni kazi bure.
Tatizo la rushwa nchi hii sio taasisi wala sheria, tatizo ni uadilifu wa mtu mmoja mmoja na kulindana.