Dah, leo naona Max kazi unayo.. Hii kali yaani mwili kama hauridhiki basi sio fisadi ila ule unaoridhika na kunenepa ndio Fisadi..Sio fisadi ndo maana hanenepi
Aaaah mimi nawashangaa tu Wapongo na hizi formula zao. Ukiwa mnene sana mwili umeridhika siku hizi husema mgonjwa anatumia ERV. Mwembamba mwii hairidhiki, siku hizi wanasema kisha ukwaa. Mwenye utajiri wa kubadilisha mboga ni Free Maison au Fisadi sasa imekuwa CCM yaani nachokaa na wabongo! yaani fanya ufanyalo watakutafutia sababu tu na sii nzuri. Mtu mwembamba sijui atakuwa mwanaChadema au?Mkuu Mkandara @Max hatuwezi mlinganisha na captain Komba