Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,571
Nipo sana tuu.Upo ?
P
Nipo sana tuu.Upo ?
Chief Kabikula, sidhani kama tatizo ni kufutwa kwa nyuzi. Ninaweza kujenga hoja kwamba wale waliokuwa wakitoa nyunzi zenye mashiko wali-withdraw!Mkuu mimi nakupongeza kwa unachofanya si haba ila angalia upande huohuo wa kufuta nyuzi , Kuna kitu mimi inanitatiza hasahasa jukwaa la siasa ambapo waanzisha mada wanakuwa walewale siku zote Ina maana hamna wengine wenye mawazo mbadala was kuanzisha nyuzi ? Au ndio zinazofutwa ? Mimi namshauri kwa kuwa JF Kuna watu wa aina mbalimbali na weledi mbalimbali watu wengine pia mada zao ziachiliwe zisifutwe tupate , mawazo ,elimu ,teknolojia ,ujuzi , maarifa , mwelekeo kutoka kwa watu tofauti tofauti , sio kila siku mada za akina johnthebaptist , Mayala , ninachosema wadau wengi wapewe nafasi kuanzisha mada tupate maarifa mapya , sio kila siku walewale Tena wanna mwelekeo wa Lumumba , mimi mwenyewe mada zangu nyingi sana hufutwa sawa Kama Kuna mapungufu zifuatwe sikatai lakini inatia shaka , wakati wa Jiwe mada nyingi zilifutwa na Sasa pia pia , hivi na awamu bado ni tishio kwenu . Kuna siku nilioosti kuhusu ajira 6000+ nikaweka attachment ya ilani ya CCM kuzalisha ajira milioni saba ikafutwa shida nini? Mnatishwa vizuri na sisi members tujue , lakini naomba watu wengi wafunguke nyuzi nyingi ziachwe hewani ili tujue mengi, tujifunze mengi kutoka kwa wenzetu sio kila siku walewale . Mimi nimejifunza mengi sana hapa JF ndio napenda watu wengi wapate tupate mengi pia , mawazo yangu tu hayo samahani kama nitakuwa nimekukwaza .
Kitu pekee ambacho sikiogopi ni Corona...kwani na wee muoga babuuh?
Umerogwa wewe!Mungu ibariki JF , Japo Clouds 360 haukuwa uwanja mzuri wa kuyaongelea hayo , ni sawa na kwenda Lumumba kwa ajili ya kuzungumzia haki
Akikujibu nitagHongera sana Melo! Swali langu ni je, siku Melo hayupo,JamiiForums itaendelea kusimama?
Kwa maneno mengine,Melo umeandaa au unaandaa mbadala wako?
Nasema hivi kwasababu, ili legacy yako ya kuanzisha JamiiForums idumu, itakuwa ni pale tu ambapo JamiiForums itaendelea kuwepo na kusimama imara uwepo au usiwepo