kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,105
- 14,448
uzuri wake
uzi wa kubeti upo
mada maalum ya walevi ipo
sisi 3 mexence 0
uzuri wake
uzi wa kubeti upo
mada maalum ya walevi ipo
sisi 3 mexence 0
Unamaanisha Amarula sio?After mtori ni Wine. Situmii kvant
Uje na wine ya kunilegeza zaidi😀😀
Mbona unataka roho yangu iachane na mwili?Una sura ya kilevi kinoma
Yeah just like that.😍😍, Tuongeze kabinti kengine huyu ameshakua mkubwaUnamaanisha Amarula sio?
Amarula + K Vant kwani mpenzi unataka kunizalia binti?
Ha haaa walevi sio watu wazuri, hata Max hataki matangazo yao. RelaxMbona unataka roho yangu iachane, na mwili?
Japo wivu sina, ila roho inauma.
Ni Mkatoliki tena aliyetukuka kabisa tu.Labda Melo msabato🏃🏃🏃🏃🏃
uzuri wake
uzi wa kubeti upo
mada maalum ya walevi ipo
sisi 3 mexence 0
Jamani, sio mimi bali sera. Sio kuwa mimi nimeamua. Hata mi nakunywa mkuu wangu 😊Ametu dissapoint sisi tunao bet na kunywa pombe
Hayo nilitolea mfano. Sidhani kama umewahi kutana na matangazo ya Sigara wala Kondomu hapa. Tukirekebisha sera labda yatakuwepoNaomba mnisaidie kumuuliza vipi kuhusu matangazo ya kondomu na fegi
Jamani, hatuwezi kuzuia maoni ya wadau kuhusu masuala hayo. Ni advertising policy yetu inayotutaka kutoyapokea matangazo hayouzuri wake
uzi wa kubeti upo
mada maalum ya walevi ipo
sisi 3 mexence 0
Huyo melo mbona kama mtumiaji wa kvantMkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums Maxence Melo amesema vyombo vingi vya habari hukubali matangazo kwa kuwa yana hela nyingi
Kwa JamiiForums amesema wana sera ambayo inawafanya wakatae matangazo ya Pombe na Matangazo ya Betting japo yana hela.
Aidha Chombo cha habari kutegemea matangazo ni suala la zamani sana ni lazima kukubali kubadilika
Amesema ni suala la ajabu kwa vyombo kulilia matangazo.
Melo yuoko mubashara StarTv muda huu
Sijakataa. Mimi sio SERA YA TAASISI. Am an individual 😊Huyo meli mbona kama mtumiaji wa kvant
Ongea mama labda wewe atakusikilizaMwambie arudishe jukwaa la watu wazima.
PoleSijakataa. Mimi sio SERA YA TAASISI. Am an individual 😊
aisee kumbeNdo maana kaondoa ile kitu yetu pendwa, dah haya bwana tufanyaje sasa. Now ni mwendo wa kusifu na kuabudu.