Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,718
Dah kweli lisemalo lipo. Wale jamaa wakijani waliwahi sema kuwa JF ipo funded na watu kutoka nje. Asa nadhani wao they take it as charity na nadhani moja ya masharti waliompa bwana JF ni pamoja na hayo yakutopakia ads za Industry Fulani Katika platform hii. Mana it makes no sense kwa media kukataa matangazo unless otherwise.
Kumbe Mataga walikuwa damn true kwa mara ya kwanza.
Kumbe Mataga walikuwa damn true kwa mara ya kwanza.