Mawio newspaper permanently banned with effect from January 15th, 2016

Kibanga Ampiga Mkoloni

JF-Expert Member
Aug 9, 2007
18,698
8,843
Gazeti la habari za kiuchunguzi la Mawio limefungiwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo nchini kwa kinachodaiwa "kukiuka" maadili ya uandishi wa habari.

============

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetangaza kulifungia gazeti la Mawio linalochapishwa na kampuni ya Victoria Media Services Ltd kutokana na kukiuka maadili ya Uandishi wa Habari.

Katika taarifa rasmi iliyotolewa tarehe 15, January, 2016, imeeleza kuwa gazeti husika halitoruhusiwa kuchapisha nakala zake kokote, iwe ni nakala ngumu (hard copy) au mtandaoni (electronic).


12509428_1161014297243801_8017580642002073648_n.jpg
 
Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
 
Habari kwenu wakuu

Lile gazeti chochezi la saed kubenea , mzee wa elimu ya hapa na pale aliyesoma vyuo vya hapa na pale lafungiwa rasmi Jana 15/01/2015
Ushahidi huu hapa
 

Attachments

  • 1452951641110.jpg
    1452951641110.jpg
    46 KB · Views: 153
Yaan ni uzembe mwingine juz serekali imeshindwa kesi mahakaman na gazeti la mwanahalisi ,serekali inadaiwa mamililio leo tena mawio limefungwa badae utashangaa tena serekali imeshindwa kesi wanadaiwa mamilion....Nape tuonee huruma na kod zetu
This time ndo imetoka hiyo,kumbuka wakati ule hii sheria ya habari nas makosa ya mtandaoni ihaikuwepo.Jaribu na wewe uchemke upigwe pin halafu ukalie mahakamani kama utachomoka.
 
This time ndo imetoka hiyo,kumbuka wakati ule hii sheria ya habari nas makosa ya mtandaoni ihaikuwepo.Jaribu na wewe uchemke upigwe pin halafu ukalie mahakamani kama utachomoka.
Huu ni uhuni ,ndo maana hata wamereka wemetunyima fedha za mcc.....ila gazet limefungwa kwa kutumia sheria ya magazet
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom