mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Nimekuwa nikiona kwa miaka kadhaa, Mawingu ya mvua vikianzaga tu, vichaa nao huchomoza wa zamani hawatulii ndani, na wengine wapya hujitokeza wakizurura, bila shaka hukimbia makwao na kwenda sehemu kutenda na kusema maneno mbalimbali ya ukichaa wao.
Mahusiano yamekaaje kwa anayejua atujuze
Mahusiano kati ya mawingu na ukichaa kuchachamaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mahusiano yamekaaje kwa anayejua atujuze
Mahusiano kati ya mawingu na ukichaa kuchachamaa
Sent using Jamii Forums mobile app