MAWI0: Sitta aliukosa u-spika kwakuwa hakuwa na matiti!

Makupa

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
5,002
2,532
Gazeti la MAWlO linastahihili kufungiwa na serikali kutokana na waandishi wake kutokufuata taalamu ya uandishi unaozingatia maadili nitanukuu baadhi ya maneno kama ifuatavyo 'Spika wa sasa ,Anna Makinda, aliukwaa tu uspika wa Bunge la Muungano baada ya Sitta kushindwa "kumea matiti" haraka na kugeuza sauti kuwa nyororo'.

Jamani haya magazeti yanatufundisha nini kwa kauli kama hizi?
 
Gazeti la MAWlO linastahihili kufungiwa na serikali kutokana na waandishi wake kutokufuata taalamu ya uandishi unaozingatia maadili nitanukuu baadhi ya maneno kama ifuatavyo 'Spika wa sasa ,Anna Makinda, aliukwaa tu uspika wa Bunge la Muungano baada ya
Sitta kushindwa "kumea matiti" haraka na kugeuza sauti kuwa nyororo'.

Jamani haya magazeti yanatufundisha nini kwa kauli kama hizi?

Kwani si ndio ilivyokuwa. Nini cha ajabu hapo? Makinda alipewa uspika kwasababu ya jinsia yake kila mtu anajua
 
kwa hiyo kama sita angekuwa ana matiti leo hii angekuwa spika au sauti nyororo????


kwani labda mwandishi asingetumia maneno kama vile mwanamke/mwanaume au neno jinsia tofauti kuliko alivyosema matiti na sauti nyororo kwani vile vile kuna wanaume wenye sauti nyororo hata matiti na vile vile kuna wanawake wenye sauti nzito, ndevu na pia kuna wanawake wengi tu hawana matiti
 
Matiti na sauti nyororo bado siyo kigezo cha jinsia KE,iko midume hata humu JF kwa jinsi inavyojibu hoja utafahamu tu yana manyonyo na sauti nyororo.
Kwa hiyo Makinda alipewa kwa sababu ya jinsia KE,labda kama kuna doubt kuhusu hilo kama yule mkimbiza upepo wa south.
 
kwa hiyo kama sita angekuwa ana matiti leo hii angekuwa spika au sauti nyororo????


kwani labda mwandishi asingetumia maneno kama vile mwanamke/mwanaume au neno jinsia tofauti kuliko alivyosema matiti na sauti nyororo kwani vile vile kuna wanaume wenye sauti nyororo hata matiti na vile vile kuna wanawake wenye sauti nzito, ndevu na pia kuna wanawake wengi tu hawana matiti
Kwa hiyo mwandishi katukana?
 
Mi ni mwandishi wa habari, kimsingi hakuna kosa la kiuandishi hapo. Kwaza maneno 'matiti na sauti nyororo siyo matusi'. Na labda kama unayachukulia kama maneno makali yanayotakiwa kuandikwa kwa tafsida (kitu ambacho siyo kweli), bado hayakuandikwa kwenye kichwa cha habari. Lakini pia gazeti lenyewe ni la makala ambalo linachukuliwa kama linafikisha ujembe kwa mtindo wa maoni zaidi.

Sijui kama umesoma makala za Kicheere, ungejua nachosema.
 
Wengine sio wana fasihi. Na kama Kaguta alivyosema habari ilitoka kama makala ingawa sijui tofauti kati ya makala na habari kamili.

Kimsingi wakati wa kuchambua mtiririko wa hiyo habari ni mtu analalamika kuwa kwa kukosa kuwa KE ndio sababu nimeukosa uspika huku akijua wazi hawezi kuwa KE. Wangefafanua kwa namna nyingine sio kwa njia hii na nathubutu kusema kushuka kwa elimu hapa nchini ndio tunaona habari za namna hii.
 
Wengine sio wana fasihi. Na kama Kaguta alivyosema habari ilitoka kama makala ingawa sijui tofauti kati ya makala na habari kamili.

Kimsingi wakati wa kuchambua mtiririko wa hiyo habari ni mtu analalamika kuwa kwa kukosa kuwa KE ndio sababu nimeukosa uspika huku akijua wazi hawezi kuwa KE. Wangefafanua kwa namna nyingine sio kwa njia hii na nathubutu kusema kushuka kwa elimu hapa nchini ndio tunaona habari za namna hii.

Mkuu, binafsi siamini kama haya yanatokea kutokana na ukosefu wa elimu. Mengine hayahitaji elimu katika kupambanua. Mwandishi alikusudia kuandika hayo kwa makusudi na kwa sababu anazozijua
 
Wengine sio wana fasihi. Na kama Kaguta alivyosema habari ilitoka kama makala ingawa sijui tofauti kati ya makala na habari kamili.

Kimsingi wakati wa kuchambua mtiririko wa hiyo habari ni mtu analalamika kuwa kwa kukosa kuwa KE ndio sababu nimeukosa uspika huku akijua wazi hawezi kuwa KE. Wangefafanua kwa namna nyingine sio kwa njia hii na nathubutu kusema kushuka kwa elimu hapa nchini ndio tunaona habari za namna hii.

Sijasoma makala/habari yenyewe, na siyo kwamba makala haiandikwi kwa staha na maneno ya heshima. Nilichotaka kusema ni kuwa ukiwa unaandika makala unaandika zaidi mtazamo wako na unapoandika habari unalazimika kufuata taratibu na maadili ya kiuandishi. Mfano huwezi kumuandika mtu alafu usimpe nafasi ya kumsikiliza ili ajitetee (ku-balance story), kwa kesi hii mfano alitakiwa kuwahoji Makinda na Sitta lakini kwa kuwa ni makala huna haja ya kufanya hivyo.
 
Kwa hiyo ukweli ukikukera unataka na sisi tukereke! Nyie ndo wale wale mnaowachagua viongozi si kwa uwezo wao bali kwa urembo na jinsia zao!
 
Ukweli ni kwamba Sitta alikosa vigezo ambavyo Makinda alikua navyo,matiti na jinsia ya Kike.!
 
Back
Top Bottom