Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Wana JF,
Kuna hali huwa inanikuta ya kuhisi mawengemawenge na kama akili haikuwi sawa hivi. Kwa mfano nikitoka nyumbani kuja mjini ndio nikikuta magari,pikipiki,watu wengi inanikuta sana hali hii.
Hapa nilipo ndani ya masaa mawili yaliyopita hali hii imenikuta hadi nikaamua nitulie mahali pa utulivu ikapungua ndo nikapata na wasaa wa kuandika hili.
Hali hii siipendi mwenzenu mnisaidie tasafadhali.
Kuna hali huwa inanikuta ya kuhisi mawengemawenge na kama akili haikuwi sawa hivi. Kwa mfano nikitoka nyumbani kuja mjini ndio nikikuta magari,pikipiki,watu wengi inanikuta sana hali hii.
Hapa nilipo ndani ya masaa mawili yaliyopita hali hii imenikuta hadi nikaamua nitulie mahali pa utulivu ikapungua ndo nikapata na wasaa wa kuandika hili.
Hali hii siipendi mwenzenu mnisaidie tasafadhali.