Mimi ninaushauri mdogo tu kwamba kwanini msiungane muanzishe asasi/hospital/shirika lolote lile kwa malengo ya kufungua hospitali kubwa kabisa hapa nchini? Mkiungana mtapata msaada tu lazima kutoka kwa wadau mbali mbali.
Unganeni na madaktari waliokwisha pata vibali mbona wako wengi nchini. Mkiamua mnaweza and in the process mkajisaidia nyinyi wenyewe na waTanzania wenzenu!!
Unganeni na madaktari waliokwisha pata vibali mbona wako wengi nchini. Mkiamua mnaweza and in the process mkajisaidia nyinyi wenyewe na waTanzania wenzenu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.