Mawazo yanahitajika kuhusu Uncle kulala na mtoto chumba kimoja

zabron k

JF-Expert Member
Nov 11, 2015
917
1,043
Habari ya leo.

Miezi kama 3 iliyopita alinitembelea shemeji yangu wa kiume (miaka zaidi ya 30) na alilala chumba cha watoto. Ikumbuke Nina Binti/mtoto wa kike miaka 5, wakati huo niliongea na mama watoto kuwa next time sitaki kuweka utu wa mtoto wangu rehani kwa watu wanaojiita "uncle"

Leo tena "uncle" kaja kwa mishe zake lakn bila ya kutoa taarifa, ninvyoona jamaa atalala hapa nyumbani. Sina chumba Cha wageni zaidi ya familia yangu tu

WANDUGU:

Nafikiria kumtafutia lodge akalale kuliko kulala na Binti yangu chumba kimoja maana Dunia imewekwa rehani. Nipo sahihi au inakuwaje?
 
MREJESHO

Kabla ya kupiga msos niliamua kumueleza wife kuwa "uncle" naenda kumlaza lodge na siwez kumuweka rehani cute girl wangu. Wife alikubali kwa shingo upande.

Fasta nikawacheki wadau wa boda waniangalizie chumba logde za uswazi.

Wakati wa kupiga msosi nikaamua kumchana "uncle" jinsi Dunia ilipofikia na maamuz yangu kwa wakat huo. Jamaa kwanza hakuamin kama nampeleka nje kulala kwa kuwa alijua tayar kafika.

Kiufupi, kalala logde ya kawaida sana (Bei kapuni) tofauti na kitambi kinavyomuonesha.

Nashukuru sana kwa msaada wa mawazo yenu. Linda familia yako bila kujali lawama zotakazo tokea
 
MREJESHO

Kabla ya kupiga msos niliamua kumueleza wife kuwa "uncle" naenda kumlaza lodge na siwez kumuweka rehani cute girl wangu. Wife alikubali kwa shingo upande.

Fasta nikawacheki wadau wa boda waniangalizie chumba logde za uswazi.

Wakati wa kupiga msosi nikaamua kumchana "uncle" jinsi Dunia ilipofikia na maamuz yangu kwa wakat huo. Jamaa kwanza hakuamin kama nampeleka nje kulala kwa kuwa alijua tayar kafika.

Kiufupi, kalala logde ya kawaida sana (Bei kapuni) tofauti na kitambi kinavyomuonesha.

Nashukuru sana kwa msaada wa mawazo yenu. Linda familia yako bila kujali lawama zotakazo tokea
Safi kabisa,
Hii ndio inatakiwa kufanywa na kila mzazi ndani ya nyumba,

Ila duuh mlikua na Moyo ile mara ya kwanza, mtoto wa kike tena wa miaka mitano kumlaza na njemba la miaka 30 badala ya kulala nae nyinyi mtoto au kumlaza huyo njemba sebuleni kama sio jikoni kabisa.
 
Safi kabisa,
Hii ndio inatakiwa kufanywa na kila mzazi ndani ya nyumba,

Ila duuh mlikua na Moyo ile mara ya kwanza, mtoto wa kike tena wa miaka mitano kumlaza na njemba la miaka 30 badala ya kulala nae nyinyi mtoto au kumlaza huyo njemba sebuleni kama sio jikoni kabisa.
 
Back
Top Bottom