agala
Member
- Sep 13, 2011
- 57
- 12
Inafahamika wakina mama ndio wadau wakubwa katika KUKUA KWA UCHUMI kutokana na idadi yao tanzania
hivyobasi ndo wakopaji wakubwa katika financial institutions hivi kwanini wasingepatiwa elimu najua tatizo ni lugha
inayotumika lakini iyo elimu ingetolewa kiswahili katika hivyo vyuo ili hao wakina mama waielewe tanzania ingeendelea siyo mpaka
wakasome kwenye hivi vyuo vya kimagharibi kwa mfano kuna mfano wa kuigwa kwa wkina mama walianzisha online marketing yao baada ya
ya kuomba mkopo somewhere lakini hawa ni wasomi je wasiosoma inakuaje?
hivyobasi ndo wakopaji wakubwa katika financial institutions hivi kwanini wasingepatiwa elimu najua tatizo ni lugha
inayotumika lakini iyo elimu ingetolewa kiswahili katika hivyo vyuo ili hao wakina mama waielewe tanzania ingeendelea siyo mpaka
wakasome kwenye hivi vyuo vya kimagharibi kwa mfano kuna mfano wa kuigwa kwa wkina mama walianzisha online marketing yao baada ya
ya kuomba mkopo somewhere lakini hawa ni wasomi je wasiosoma inakuaje?