Mawazo kuhusu biashara ya wasaidizi wa kazi za ndani

Unajua mambo mengine kwenye forum unaweza kukosoa bila kujua hali halisi. Wasichana kama hao unaosema wengi unakuta wametoka familia maskini sana na huko walikukuwa walikuwa wanaishi kwenye mazingira magumu. Hata kama sheria inazuia kuajiri watoto wa umri huu lakini kiuhalisia wasipoajiriwa wataishia kubebeshwa mimba au kuolewa huko kwao na maisha kuwa mabaya zaidi. Mimi nadhani serikali inatakiwa kuangalia haya mambo kwa uhalisia wake. Mimi nakushauri ufanye hii shughuli kwa kuzingatia haki na uhakikishe unasimamia haki za hao wasichana kwani waajiri wengine wanaweza kuwatumikisha kama watumwa.
Asante sana mkuu, wengi hawajui mazingira ninayowakuta hawa mabinti.
80% wengi wanakimbia ndoa, maana nna binti aliolewa akiwa na miaka 12, na ana mtoto.
98% hawa mabinti hata darasa la kwanza hawalijui.
90% mabinti wamekoswa koswa kuozeshwa kwa lazima na wazazi/walezi wao.
Hivyo kwa mazingira niyaonayo na wao kunisumbua kuhitaji kazi nimeona ni heri niwasaidie kwa njia hii niwe wakala wao hila nitawasimamia katika kupata haki zao wakiwa kwa maboss zao. Naamini kufanya hivi nitakuwa nimewasaidia hata angalau kujitambua na kupata ujuzi kidogo kuliko kuwaacha hivyo hivyo.
 
Mmh ila hii biashara ina ukakasi. Wataalamu wa uchumi wanasema biashara ikiwa na risk kubwa ina faida kubwa pia lakin hapa naona mleta mda hii biashara yake ina risk kubwa ila haina faida kubwa au haina kabisa.

Wazazi wa watoto kukubali sidhani kama ndio inakupa wewe go ahead moja kwa moja. Mamlaka za serikali zinasemaje kuhusu hilo? Umefatilia huko??
Kua na mbinti 20 kinyemela ni biashara haramu iyo mkuu, unaweza kuzushiwa kesi kua unawauza hao.

Mabinti 20 wanalala wapi mkuu?? Umewapangishia nyumba??
Acha uchawi wewe.
 
EXCLUSIVE: MTANDAO WA MATAPELI WA MADADA WA KAZI WANASWA!

Mambo haya ni jana tarehe 3.7.2021

Ingia YouTube

ICU CHUMBA CHA UMBEA

Uone habari kamili!
 
EXCLUSIVE: MTANDAO WA MATAPELI WA MADADA WA KAZI WANASWA!

Mambo haya ni jana tarehe 3.7.2021

Ingia YouTube

ICU CHUMBA CHA UMBEA

Uone habari kamili!
Si kila bihashara ni utapeli, kila kazi inachangamoto zake, binafsi nipo tayari hata kukukabidhi binti bureeeee, ukiona tatizo lolote nami nihukumiwe juu yake.
 
Si kila bihashara ni utapeli, kila kazi inachangamoto zake, binafsi nipo tayari hata kukukabidhi binti bureeeee, ukiona tatizo lolote nami nihukumiwe juu yake.
Sijasema ni wewe, Ila haya nimeyaona jana tu kwenye hiyo channel. Ingia utaona.

Pia sihitaji mdada wa kazi asante.
 
Uo umri kua nao makini. Chini ya 14 ni hatari. Hii ni sheria ya ajira na mahusiano kazini
Habari wanajamvi, msaada wa mawazo yenu hapa.

Nilikuwa nina wazo la bihashara ya wasichana wa kazi ( house girls) mwaka jana, lilikua niwe nawatafuta mabinti nawapa mafunzo kiasi jinsi ya kufanya kazi na kujifunza ujuzi mdogo mdogo, pia niwachambue wale bora na kuwatafutia kazi za ndani.

Lengo kuu ni mimi kupata kipato, pia kuwasaidia na wao pia. Lakini pia nitasimamia baadhi ya haki zao za msingi wawe wanazipata toka kwa waajiri wao( nakua mwamvuli).

Sasa kwasasa nimeanza kuliendesha hili wazo, lakini changamoto kubwa napata mabinti wadogo umri kuanzia miaka 12 hadi 17, na wengi hawajawahi kwenda shule kabisa, na baadhi yao wana historia ya kuishi kwenye ndoa.

Japo wakifika kwangu nawapa mafunzo ya mwezi mzima na kuzijua baadhi ya tabia zao na kuwafundisha angalau kusoma na kuandika.

Je, hili wazo langu kisheria lipoje?

Je, nipo halali kisheria kuwatafutia kazi hawa mabinti? Maana wanatoka kwenye mazingira magumu sana.

Hadi sasa ninao 20 nawapa mafunzo na kuzijua tabia zao, wakiwa na vigezo nawatafutia kazi.

NB: Wana ruhusa za wazazi wao.
Screenshot_20210811-065738_Adobe Acrobat.jpg
 
Hao wadada wa kazi wawe na vigezo mkuu,,
Nina hakika wote 20 watachukuliwa hata week haifiki.
-- sura nzr.
-- maziwa yasiwe yamelala sn..
-- wawe shawishi muda wote.
Ili ikimpendeza anayewachukuwa abadilishe matumizi mengine..
 
Habari wanajamvi, msaada wa mawazo yenu hapa.

Nilikuwa nina wazo la bihashara ya wasichana wa kazi ( house girls) mwaka jana, lilikua niwe nawatafuta mabinti nawapa mafunzo kiasi jinsi ya kufanya kazi na kujifunza ujuzi mdogo mdogo, pia niwachambue wale bora na kuwatafutia kazi za ndani.

Lengo kuu ni mimi kupata kipato, pia kuwasaidia na wao pia. Lakini pia nitasimamia baadhi ya haki zao za msingi wawe wanazipata toka kwa waajiri wao( nakua mwamvuli).

Sasa kwasasa nimeanza kuliendesha hili wazo, lakini changamoto kubwa napata mabinti wadogo umri kuanzia miaka 12 hadi 17, na wengi hawajawahi kwenda shule kabisa, na baadhi yao wana historia ya kuishi kwenye ndoa.

Japo wakifika kwangu nawapa mafunzo ya mwezi mzima na kuzijua baadhi ya tabia zao na kuwafundisha angalau kusoma na kuandika.

Je, hili wazo langu kisheria lipoje?

Je, nipo halali kisheria kuwatafutia kazi hawa mabinti? Maana wanatoka kwenye mazingira magumu sana.

Hadi sasa ninao 20 nawapa mafunzo na kuzijua tabia zao, wakiwa na vigezo nawatafutia kazi.

NB: Wana ruhusa za wazazi wao.
Kipato hapo unapataje labda ndugu afu kitu kingine ruhusa ya wazazi sio shida vp kuhusu ruhusa ya serikali kwa mazingila huliyopo umefatilia?
Kingine vp malipo yako ww na binti inakuaje??
 
Back
Top Bottom