lady Jay
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 526
- 646
Habari zenu wapendwa,
Katika harakati za kupambana na maisha, nimepata wazo la kufanya biashara ya nguo za watoto za mtumba.
Nilikua naomba kwa wenye uzoefu wa hii biashara wanisaidie kuhusu gharama za mtaji unatakiwa bei gani kwa makadirio, Pia kuhusu sehemu ya kupata mzigo,na pia kuhusu uendeshaji wake ukoje.
Na pia ikienda vizuri ningependa kuweka na viatu vya watoto na toys za watoto.
Asanteni.
Katika harakati za kupambana na maisha, nimepata wazo la kufanya biashara ya nguo za watoto za mtumba.
Nilikua naomba kwa wenye uzoefu wa hii biashara wanisaidie kuhusu gharama za mtaji unatakiwa bei gani kwa makadirio, Pia kuhusu sehemu ya kupata mzigo,na pia kuhusu uendeshaji wake ukoje.
Na pia ikienda vizuri ningependa kuweka na viatu vya watoto na toys za watoto.
Asanteni.