Nadhani nayo inapendeza zaidi...Vipi kulizungumzia Jasusi Louis Shika Nao ni uchochezi au
Na huenda ikawa ni ya hata miaka miwili,.... Tuna ahadi za viwanda lukuki...Kwa hizi drama za wateule, KP siku hizi hakosi cha kusema. Infact ni kama keshajikusanyia material kama ya mwaka mmoja hivi.
mhn! itapendeza!Tena hiyo njia ya juu ya jengo itakuwa nzuri zaidi kuliko hiyo ya kupita pembeni
Yaani ktkt ya mji uruhusu kona kali na mlima mkali kwanini?
Bajeti ya kujenga mnachotetea humu ni kubwa kuliko hilo jengo kubomolewa na kujengwa sehemu nyingine.
Suala sio ikate kona tu kulipisha jengo, kuna factors nyingi!!
sasa mkuu si ulipiga makofi kabisa, siku 30 tu kinatimia unachopigia debe!Yaani ktkt ya mji uruhusu kona kali na mlima mkali kwanini?
Bomoa Jengo muda mfupi tutasahau
Kukwepesha njia itakuwa gharama kuliko gharama ya jengo la tanesco?Bajeti ya kujenga mnachotetea humu ni kubwa kuliko hilo jengo kubomolewa na kujengwa sehemu nyingine.
Suala sio ikate kona tu kulipisha jengo, kuna factors nyingi!!
.....Hivi hili jengo ni mali ya nani?