Pamoja Na kwamba CCM imeamua kutosa mawaziri 7 lakini ukwei ni kwamba mawaziri wote ni mizigo kwa wananchi wakiongozwa Na mzigo namba 1 Mtoto Wa mkukima aka liwalo Na liwe.
Ni mawaziri wawili tu ambao mtu anaweza kusimama Na kujenga hoja kwamba wanachapa kazi. Hawa ni Magufuli Na mwakyembe.
Nashauri rais wetu JK futa baraza lote la mawaziri Na uunde baraza dogo lenye tija ili utupunguzie mzigo wananchi wako.
Ni mawaziri wawili tu ambao mtu anaweza kusimama Na kujenga hoja kwamba wanachapa kazi. Hawa ni Magufuli Na mwakyembe.
Nashauri rais wetu JK futa baraza lote la mawaziri Na uunde baraza dogo lenye tija ili utupunguzie mzigo wananchi wako.