Mkosasura Ng'ong'a
Member
- Jan 25, 2016
- 32
- 64
Mgo
Nzi kwenye keki, sio? Na usipoondoa fedhuli hii ninaongeza funza. Unaleta jeuri wakati mfadhili wako ameoza nje ndani!?
Naona alikuchukukia mkeo?au hujalipia karo za mtoto wako?au chuki tu?
Nzi kwenye keki, sio? Na usipoondoa fedhuli hii ninaongeza funza. Unaleta jeuri wakati mfadhili wako ameoza nje ndani!?