Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
mawaziri watakaojiuzuru wanatakiwa kuvuliwa ubunge kwa wizi na ubadhirifu wa pesa za umma na kufikishwa mahakamani, la sivyo wezi wote walioko magerezani waachiwe, la sivyo wananchi waingie barabarani kudai haki ya taifa lao...Lema akiwa viwanja vya sahara jijini mwanza