Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
Tume ya maadili aaaahhhhhh sijui niite ya maandazi hizi tume bana nkapa sijui alifikirije na hivi vitume vya ulaji uchafu mtupu..embu nyie mawaziri wapya leo tuntitaji mtutajie basi mnamali gan maana naona hata waliokuwa manzese gafla wanatembelea benzi sasa sijui za wenzenu ama lah embu tuabalishen msisubiri kutiana haya uwanjani.....kwenye hizo formu waweke mna wake wangapi na mkiondoka mtujulishe mnaondoka na wake wangapi??
Na nyie ndugu zeetu wakristo wawekewe ....hawara wangapi...na mkiondoka mtujuze mmepata wangapi maana mnabadilika sana .........
Kazi kwako kikwete
Na nyie ndugu zeetu wakristo wawekewe ....hawara wangapi...na mkiondoka mtujuze mmepata wangapi maana mnabadilika sana .........
Kazi kwako kikwete