Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Kuelekea kwenye kulisubiri baraza jipya la mawaziri hapa Tanzania ni kua sasa hivi ikiwa ni matumbo joto kwa mawaziri kutokujua hatima yao kama kuna watakao kuwepo au kutokuwepo kwenye baraza hili jipya, ni kua sasa hivi baadhi ya Mawaziri wameonekana kupishana kwa waganga wa kienyeji kutafuta tiba mbadala kuwanusuru na fagio hilo la chuma, hata mwenyekiti wa waganga wa kienyeji Tanzania alipoulizwa alikiri hilo na kudai kua wateja wao wakubwa ni mawaziri na mwenyekiti huyo amelalamika kua kuna baadhi ya mawaziri wamekua wanakwenda mikono nyuma kuomba tiba na wakishapatiwa tiba hizo mbadala na kufanikiwa huwa hawarudi kutoa fadhilia amelalamika mwenyekiti huyo wa waganga wa kienyeji Tanzania!
Hii nimeamini sasa kua hata kule kwa waganga wanapopatiwa tiba hizo pia wanarusha je maendeleo kwa wananchi???
Souce: Vyanzo vya habari magazetini leo.
Hii nimeamini sasa kua hata kule kwa waganga wanapopatiwa tiba hizo pia wanarusha je maendeleo kwa wananchi???
Souce: Vyanzo vya habari magazetini leo.