kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 598
- 143
Mawaziri wa JK wamebuni mbinu kali ya kulainisha wabunge ili kupitisha bajeti kiulaini baada ya ile ya Jairo kustukiwa. Kwa sasa Mawazili hutumia mbinu kali ili kugundua maovu ya watumishi na kuyavundika hadi siku ya bajeti ambapo Mheshimiwa hutangaza kuwafukuza kazi ndani ya jengo la Bunge.
Watumishi mpooo, ukifanya uovu August baada ya bajeti yenu hutafukuzwa hapo hapo, ila jiandae kufukuzwa kwenye bajeti ijayo. Anyway unapata muda wa maandalizi ya kufukuzwa. Ukiwa na zali baada ya bajeti unarudishwa kazini. Unakuwa nusu kafara, Jairo alikuwa kafara kamili.
Wadau mmeiona hiyo?
Watumishi mpooo, ukifanya uovu August baada ya bajeti yenu hutafukuzwa hapo hapo, ila jiandae kufukuzwa kwenye bajeti ijayo. Anyway unapata muda wa maandalizi ya kufukuzwa. Ukiwa na zali baada ya bajeti unarudishwa kazini. Unakuwa nusu kafara, Jairo alikuwa kafara kamili.
Wadau mmeiona hiyo?